Search results

  1. Nima_

    TANZIA Professor James Shaba afariki dunia. Alifanyia postmortem mwili wa Hayati Sokoine

    Pascal unahitajika sana kujulikana kwa kizazi hiki. wakipatikana interviewers makini wasio na harakana walio very matured unaweza kutoa madini mengi sana kwa ajili ya generation hii. Myles Munroe once said graveyards zina utajiri mkubwa sana sababu ya people who passed with so much ideas...
  2. Nima_

    TANZIA Professor James Shaba afariki dunia. Alifanyia postmortem mwili wa Hayati Sokoine

    natamani kujua hii report aisee, very important tujue umafia umekuwepo tangu kitambo nchi hii
  3. Nima_

    Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

    Bill ilikuwla inalipwa na serikali obviously maana hata security guards walikuwa wanalipwa na serikali. Mi nimeona bunduki live for the first time kwa mlinzi wetu alikuwa anaitwa Yessaya nakumbuka. Tom amesoma na kaka yangu ambaye was two classes ahead of me. Mdogo wake mwenye kuvaa socks ndefu...
  4. Nima_

    Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

    Frank alikuwa mchokozi na mkorofi hatari shuleni primary school Oysterbay.
  5. Nima_

    Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

    Apson walihama maeneo ya jirani na shule pale? Namkumbuka mdogo wake Tom tulikuwa darasa moja na mama yao alikuwa mwalimu pale. Basi dogo alikuwa wa kishua na ushua uliopitiliza yaani alikuwa anavaa sock nyeupe ndefuuu hadi magotini na ni mvulana yaani duh[emoji23][emoji23][emoji23] Hivi...
  6. Nima_

    Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

    Namkumbuka Mapi ila sina taarifa zake maskini, that’s sad
  7. Nima_

    Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

    Oysterbay primary ulikuwa class of? Mimi 1984 nilikuwa class 4 nakumbuka ndio tumehamia shule mpya kutoka kwetu Machame[emoji23][emoji23] aisee bonge moja la transform miaka hiyo
  8. Nima_

    Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

    Adelide alikuwa my age, Judy alikuwa mkubwa. Nyumba yao was opposite to tuliyokuwa tunaishi
  9. Nima_

    Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

    Masha alikuwa dadaake Makatta aliyefariki alikuwa mzuri balaa hata mama yao, rangi flani ya hela. Anna Mbagga dadaake Joms Mbagga na Terence Mbagga, very beautiful aisee. Kisa Kilindu mbona sio rika hilo lakini? But as well, pretty Kyusa girl na mdogo wake Anna Kilindu. Kulikuwa na hao kina...
  10. Nima_

    Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

    Alafu isichukuliwe kuwa waliopata neema ya kuishi ushuani na baba zao waliokuwa na nafasi serikalini miaka hiyo kwamba sasa hivi life imewachapa; not at all na hata kama wapo basi ni wachache sana! Wengi bado maisha ni mazuri kabisa. Mfano sisi hatukupata bahati ya kupelekwa UK or USA, ila ile...
  11. Nima_

    Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

    Bitterness inaweza kuwa cancer kuwa makini ndugu[emoji23][emoji23][emoji23]
  12. Nima_

    Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

    No m-sure hakuwa waziri alikuwa DG TIRDO, pale baba alihamia na kaka zangu wakubwa late 70s so sisi wengine tukamjoin 1983. 1986 tukaondoka. Yaani hata ninavyovikumbuka ni kichwa tu iko sawa but I was really young. Kaka zangu wakubwa ndo wanaweza kuwa na details zaidi
  13. Nima_

    Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

    Hahahah jamaa alikuwa stubborn [emoji23]
  14. Nima_

    Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

    Hivi Max ndio kina Kafipa? Au namchanganya? Ila jina la mwisho Kafipa, either Max or Anthony jamani alikuwa akipita mtaa wa Ethiopia Crescent wasichana wanakimbia hatari maana mtaa ulikuwa na mabinti wazuri kweli.
  15. Nima_

    Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

    Nyumba yetu ilikuwa between Opangas na Kimbwereza. Kulikuwa kuna kaka yao ana kibiongo ndo mara ya kwanza naona mtu wa namna hiyo I remember tukimtania, shame ila ni utoto ulikuwa
  16. Nima_

    Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

    Ndio maana watoto wa Mbuyuni walikuwa wanaogopwa tunaambiwa tusicheze nao kumbe ni sababu hiyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  17. Nima_

    UTT AMIS ni hatua nzuri sana ya uwekezaji

    Bado sijakuwa pro kwenye kujua calculations za faida but ninachofahamu ni kuwa kila siku ya kazi wanakupa kiasi kidunchu cha hela depending na mtaji uliowekeza; tofauti na bank ambapo I used to get nothing zaidi ya makato. So if u are interested jaribu kwafikia kwa simu or watembelee upate...
Back
Top Bottom