Search results

  1. West standard

    Don't tell anyone what you're doing until you're done. It can confuse external energy targets

    Nimejifunza kitu, bora usiseme cho chote ila mipango yako iko pale pale.
  2. West standard

    Mfano wa jengo la Chadema makao makuu

    Chadema mna haraka gani? Ujenzi haujaanza mmeshaanza kutuma picha, Mbona CCM huwa hawafanyi hivi?
  3. West standard

    Je, hili gonjwa lililompata mshikaji wetu ni karma au uchawi?

    We jamaa ndio muhusika, inakuaje unayajua mambo ya ndani ya mtu mwingine kama wewe siyo muhusika?
  4. West standard

    Wanaoilaumu CHADEMA watambue kwamba huwezi kumsamehe asiyeomba Msamaha

    Mwisho wao ni Baraza kuu la Chama.
  5. West standard

    Punguzeni dharau, sio kila unaemuona ni maskini basi ni mvivu

    Jitambue hata ukidharauliwa huwezi kuumia.Jitambue
  6. West standard

    ARUSHA: Amuua kaka yake na kumjeruhi mama yake kwa kisu, akikataliwa kupika

    Familia nyingi zinapitia mikosi ya kila aina kutokana na hila za adui, ambaye lengo lake ni kuona kizazi chote kinaishi katika mateso makali. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. West standard

    Kama ingelitokea msanii Mkristu akashutia video yake Msikitini

    Kwanini wanaruhusu hayo kufanyika Kanisani? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. West standard

    Ndugu yangu anamwambia mke wangu kuwa sisi tunalala tu hatufanyi mapenzi

    Mtimue hapo nyumbani mara moja . Sent using Jamii Forums mobile app
  9. West standard

    Waluguru wanafukia ufuo wa maiti chumbani

    Ndiyo maana tabia ya kula ovyo ovyo hata mtaani siipendi. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. West standard

    Mkinga sio mtu wa kushindana nae kwenye Biashara!

    Maneno rahisi mtaji wa hawa jamaa ndio uchawi, kwa sababu wana uwezo wa kuwahudumia watu wengi kwa wakati wanaohitaji hizo bidhaa. Sasa kama mtu huna mtaji wa kutosha unawezaje kusema huuzi wakati wateja huna mtaji wa kuleta bidhaa zinazotakiwa kwenye biashara yako. UCHAWI NI MTAJI KAMA HUNA...
  11. West standard

    Mume amfikisha mahakamani mkewe kwa kupeleka mshahara wake kanisani

    Waachane kimya kimya kwani lazima mahakama iwaachanishe?
  12. West standard

    Ni kweli Padri wa kanisa Katoliki anaweza kutoa laana ya kifo kupitia kufunga na kusali peku huku akivalia kanzu nyeusi au hawa walijiua

    Mi nachojua ukitenda zuri au baya, Hiyo ni akiba. Utakutana nayo huko mbeleni, haijalishi wewe ni padri ama mchawi. Wote tunavuna tuliyopanda.
  13. West standard

    Nawapiga chini marafiki wote wasiokuwa na tija kwangu

    Tena usinikumbushe, waliosema kuwa uyaone walikua na maana pana sana. Piga chini. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. West standard

    Ufugaji wa Vunjajungu (pamoja na wadudu wengine) na masoko yake

    Maswali ni mengi kuliko majibu, Wanafugwa kwa namna gani mpaka wakue na kutaga mayai? Je kilo moja ya nzige ina dhamani gani katika soko? Wanahitajika kiasi gani Duniani?
  15. West standard

    Haya ni maajabu 6 ya kahawa yanayowaduwaza wengi duniani

    Kahawa ni ulevi kama ulevi mwingine, maana wakati natumia kahawa napata hasira, uchungu, na wasi wasi kumbe kahawa ndio ilikua inasababisha hayo yote kwa Sababu ilikua inaenda kufanya damu inaenda kasi. Nilipoamua kupumzika bila kahawa naweza kucheka tena. Sent using Jamii Forums mobile app
  16. West standard

    Msaada: Nimelala na wanawake wengi sana

    Huo muda unautoa wapi? Sent using Jamii Forums mobile app
  17. West standard

    Content za kibiashara

    Frem la uhakika kuanzia 2M kwa mwezi na ulipie kwa mkupuo miezi 12.
  18. West standard

    Nina shida na mtu aliyeko South Africa tafadhali

    Nami atakubali kufanya hivyo? Biashara za kubahatisha.
  19. West standard

    Jerusalem: Israel yavamia msikiti was Al- Aqsa na kujeruhi watu 40

    Eneo takatifu inakuwaje fujo zinatawala hapo ﹰAl-aqsa? Israel inavamiaje wakati ni eneo lake la Utawala?
  20. West standard

    Mama wa kambo kashaniendea mara mia moja kwa waganga wa kienyeji ili Mzee asinijali, anisahau

    Pole mkuu, inaonekana huna imani ndiyo maana unatishika na uchawi ambao hauaminiki hata kidogo. Ukiwa unamtegemea Mungu hakuna uchawi utakaow3za kukuhangaisha humu duniani.
Back
Top Bottom