haina maana kuwasomesha watu, na usiwatumie. ni sawa na kijiji chenye njaa kilichojitolea kile kidogo kwa watu wachache ili waende kutafuta chakula. wale waliotumwa wanaporudi na chakula chao kinawekwa stoo kinaozea huko wanakijiji wakifa na njaa. ni vyema ile pesa kidogo mliyotumia kuwasomesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.