Imezoeleka hadi mtu afe ndo sifa zake zinatamalaki na nyimbo zake kupigwa redioni muziki unabadilika watu wanakuja na kuondoka katika Industry ya Hip Hop ya Bongo kwa sasa Nick Mbishi & One(uno) na Tamaduni Music kwa ujumla ndiyo wanaoifanya game hiyo vizuri kwa sasa nchini Tanzania.
Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.