Tanzania yangu ni muhimu kuliko Muziki wa Alikiba....na suala lake la kumpigia debe Magufuli kwa maana ya kwamba CCM iendelee kutawala mimi siyo Team Kiba tena ntamchukulia kama msanii wa kawaida tu na sitotoa jasho langu na nguvu zangu kumpigia Kura popote pale kama ambavyo sifanyi hivyo kwa...
ww ndo unajichetua...lowassa alipojiunga na chadema na wakati anaulizwa maswali aliulizwa kuhusu Richmond alisema kwamba "MAMLAKA YA JUU" iliruhusu mkataba ule kuendelea sasa sijui unataka aseme nini labda au atumie kiungo gani kuzungumza ili uelewe ndugu yangu...angalia kipima joto saa hizi pia...
ACT waongo na wapuuzi....eti zitto anasema wameamua kumuweka "mwanamama" kisa mara nne nzima nchi imeongozwa na wanaume na imeishia kuingia kwenye ufisadi tu hahahaaa wanadhani tumesahau kwamba walimchukulia fomu hizo Kitila Mkumbo "mwanaume" baada ya kukataa ndo mkampa huyo mwanamama kwa bahati...
na lubuva unamuita MJOMBA yaani kaka wa mama yako baba mmoja mama mmoja na wamezaliwa wawili tu lubuva na mama yako swali je LOWASA huyo mwanamke wake ni nani?...nijibu
We unaambiwa mwenzako kashabook kwa sababu serikali mnayo eti na nyny mnajifanya mnataka,...mnadhani mtashinda kwa dhuluma zenu?,uwanja wa taifa mmegoma,jangwani mmezingua na kwenye TV mnazingua wabongo tunawacheki tu nahata wana CCM wasiopenda dhuluma hawafurahishwi na upuuzi huo....ila...
Watu wanabisha ila mtoa post upo right haya mambo bwana kwa watu kama wasanii ambao wana followers wa kila aina ni ya kuwa nayo makini sana...huwez jua pengine mashabiki zake wengi ni wapinzan je?...sema watu wanajifanya hawaon
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.