Kwani watu tunakula barabara?wizi mtupu,walikuwa wanauwezo wa kufanya makubwa mara 10 ya hayo ila sababu ya ufisadi wao/wenu mnajisifu kwa hivyo vibarabara vichache,tuondolee upuuzi wako hapa!
Wanajamii,kwa wale walioitwa kazini kwa nafasi tajwa hapo juu..je wenzangu barua zenu mmezipata kwenye box zenu za posta?maana mimi hadi leo sijapata.tusaidiane kwa hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.