Search results

  1. G

    pata faraja ya kazi toka Simgas.usikae nyumbani bure

    We kama huna kazi nenda kapige hata hiyo ambayo unakunja kilo 2,ukikaa nyumbani utaolewa mtoto wa kiume au upewe matembele uchambue
  2. G

    Ofisi Mpya ya WEMA SEPETU Hii HAPA

    Anazidi kuwa kama mdoli tu!mi sipendi mtu akijichubua,basi tu!
  3. G

    Tamasha kubwa la extra bongo mbeya aibu,waliofika ni watu 20 tu ukijumlisha waandishi

    Watu mbeya hawana hela,unafikiri walikuwa hawana hamu ya kwenda,hata mashetani wao wanapenda raha tatizo ukata
  4. G

    Record yavunjwa, hawa ndio wanyama kumi mabonge zaidi duniani

    Alienivutia ni huyo "Noah" tu basi,mate yananidondoka hapa
  5. G

    tufungukeni majina ya wanyakyusa...naaanza

    Atufile Atupangusye Mwambolo
  6. G

    Huku tunapoelekea sasa Tanzania sijui wapi?

    Huyo alishashindikana kitambo na sababu kubwa ni tungi,analewa huyo dada kama hakuna kesho vile
  7. G

    Wabongo acheni kulalamika kwa muumba mungu wewe una matatizo kuliko huyu jamaa

    Huyo mwanamke alienae mungu ambariki ana true love
  8. G

    Wakati cdm ikipiga porojo, ccm inafanya haya

    Kwani watu tunakula barabara?wizi mtupu,walikuwa wanauwezo wa kufanya makubwa mara 10 ya hayo ila sababu ya ufisadi wao/wenu mnajisifu kwa hivyo vibarabara vichache,tuondolee upuuzi wako hapa!
  9. G

    Kazi kazi kazi nafasi mbili

    0655049787
  10. G

    The African woman is born as an Original

    Linah nae wano
  11. G

    kuhusu walioitwa kazini WEO III

    Mbona hujaeleweka?ulijipanga kweli kabla hujaandika hiki ulichoandika?
  12. G

    Totoz Kali Za Bongo! Approved By Allien!

    Huyo dada mwenye pink na kaptula ya jeans nimepiganae school shinyanga
  13. G

    kuhusu walioitwa kazini WEO III

    Aisee hata mi nimejiongeza na nilikuwa na wazo hilo maana posta siwaamini hata kidogo!ngoja j3 niamkie huko!thanks buddy kwa ushauri wako
  14. G

    T

    Kama hamjaelewa si make kimya!mmelazimishwa kujibu?
  15. G

    kuhusu walioitwa kazini WEO III

    Wanajamii,kwa wale walioitwa kazini kwa nafasi tajwa hapo juu..je wenzangu barua zenu mmezipata kwenye box zenu za posta?maana mimi hadi leo sijapata.tusaidiane kwa hilo
  16. G

    jaman watu wameitwa kazin kada zote!!!!

    Hizo post nyingine bado tuvute subira mi mwenyewe nasikilizia hizo hizo hope soon tutahusika
  17. G

    Majina ya ajabu...

    mi nilisikia moja huko kwa wanyakyusa ni noma....ATUFILE ATUPANGUSYE MWAMBOLO
  18. G

    Tupia lako ulilosoma kwenye gari...

    -mkono mtupu haulambwi -yako ni hayo tu,haya kantangaze
  19. G

    Mazishi ya Patirck Mafisango

    pumzika kwa amani bro,umetangulia sisi twaya tupo nyuma yako...mungu akupe mwanga wa milele akuangazie
  20. G

    Mrembo huyu unamuonaje?

    hii kabla hujachamba gia lazima ule ushibe na sharti usivimbiwe
Back
Top Bottom