Zitto anasukumwa kufanya hayo na maccm na ni mtego mkubwa kwa chadema wakikubaliana na hilo la kumvua nafasi zake itaonekana ni kweli chadema inahusika na ugaidi tajwa fake wa lwakatare.... We are very genius Zitto na kama unataka chukua time nenda hukohuko ccm
Shut up you bastard Lukosi.... Unafikiri kila mtu ana akili ya kuuza utu wake kama wewe???!?!!!!?? Ongelea ccm yako unayodhani itakukomboa .... Tuache sisi tuwatete watoto wetu
Mwaka wa nguvu ya umma, nyie watu wa Dar ni vilaza sana na ndio mnachelwesha maendeleo na mabadiliko ya nchi hii... Ngojeni kamanda wa ardhi LEMA awaonyeshe santuri za kucheza na hao watototo wa Said Mwema!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.