Kaka ukisoma katiba kwenye dispensation of justice Article 107A(2)(e) kwenye kutoa haki mahakamani kusiwe na technicalities zinazozuia haki kutolewa...
Yani Lipumba alivyoisaliti ukawa bora asingegeuka nyuma ...
Alivyogeuka na kudai tena uenyekiti...duuh
Haya umepewa kisheria kabisa...Ila aibu unayoipata na utakayoipata....
Nafikiri kuna watu wanakuuliza kwanini umerudi tena na ulishajiuzulu...
Sent using Jamii Forums mobile app
6CE124NBWJP Imethibitishwa Tsh12,000.00 imetumwa kwa 255754616564 - FRANK MGHWAI Tarehe 14/3/19 saa 4:04 PM kwa ada ya Tsh310.00.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alianzisha mchakato majimboni,kipindi kichokuwa kinajumuisha wagombea wa vyama tofauti..
Wagombea wa CCM wakawa wameambiwa washiriki...
Tido akaendelea na kipindi hata kama wagombea wa CCM hawapo...
Tido akidhani TBC ni kama BBC...fair ground kumbe ni TBccm...
Yaliyofuata ndiyo hayo...
Naomba kuuliza wadau...
Mpaka serikali inakulipia matibabu nje ya nchi 100% unatakiwa utimize vigezo gani?
Ukiondoa vigezo vya kupitia muhimbili,wizara ya afya nk...
Maana kuna wakati Marehemu Sitta naye alipigwa tafu akiwa hukohuko..
Sent using Jamii Forums mobile app
Au ukiona Prof Kabundi ,Dr Mwakyembe wanakataa maandiko na maneno yao...
Lazima ujiulize not only what went wrong...but also who made it went wrong...
Troubleshooting inaonyesha tumepata root cause...
Let's work to remove it...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho kinaitwa kijiba...
Hakuna anayetaka madaraka...
Tunataka utawala wa sheria tu...
And mostly new constitution...
Upande huu hauna kujipendekeza
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.