Inabidi tumuombe Mungu maana sheria zinazopita na majina mazuri kama " Tume huru" wakati sio huru. Rushwa imezidi sana. Mungu amuombe Mama atupe haki au amwite kama mtangulia wake mpendwa wetu aliyemtangulia tupate viongozi ambao kweli wana nia ya kubadilisha nchi
Naomba umwambie Mungu wako hatutaki wizi wa kura na tuna omba tume huru. Lakini mwambie tunaomba katiba mpya na awaite wote watakao kataa hayo matakwa ya wananchi
Tatizo wa Watanzania wakisoma kidogo wanaona wengine wote ni wajinga. Kifo cha magufuli ukweli unajulikana Mpina anatafuta mwamko tu wakisiasa hamna jipya hapa zaidi ya kutafuta kiki na uchawa.
Ukweli usiopingika ni kwamba (1) Magufuli alipata Covid (2) Magufuli alikuwa na pacemaker (3)...
Ukweli ni huu na hautabadilika. Magufuli alipata Covid na alikuwa na matatizo ya moyo ambayo yalifanya awekewe pacemaker. Covid ile ilisababisha mashine ya pacemaker kutokufanya kazi vizuri.
Mpendwa wetu hakutaka kupata chanjo na alijiweka karibu na wadhirika wa Covid akiwa pamoja na katibu...
Kuna wanao amini kabisa kwamba Mungu ndiye ataleta demokrasia Tanzania. Wasio Taka demokrasia Mungu atawaita na kuongea nao. Baada ya uchaguzi kwa wale wote wanaopinga demokrasia na kunyanyasa na kuiba kura mtaitwa kwenda kubishana na Mungu. Hatuna muda hapa wa kubishana kuhusu wizi wa kura na...
Hivi vituko vya kuiliza maswali mtu
kwenye kioo kila siku ni ujinga. Huyo mtu ni wewe🤔 Nani kawapa kazi. Tulisema mfumo mbaya kuna watu hapa wanasema katiba haina tija
Tatizo tumekuwa na kazi ambazo zinahitaji uwezo wa kusimamia miradi na budget mbali mbali za maendeleo. Lakini tunaweka makada ambao wengi wamezoea kupiga domo kucha kutwa bila kufahamu chochote kuhusu uongozi. Hii imesababisha nchi zima na kila idara kuwa ya machawa na watu wasio jielewa...
Diaspora tumechoka maneno maneno kwa miaka sasa hivi karibuni ni lini hasa??? Tatizo ni maneno tu wakati wenzetu wa nchi za jirani wamesonga mbele sisi tunaangaliana kama wachumba kila siku
Ukitoa jibu hapa la kiafya kwa hili swala ni kwamba hujui unacho kiongea. Mambo ya Afya sio ya kiki au uchawa wenu ni serious. Kumwambia aende hospitali kwa swala hili ndiyo ushauri vinginevyo ni utoto na ujinga jinga kama wenu. Inabidi tufungue chemba hapa ya watoto, machawa, na watu wa kiki...
Nani wa upinzani kamtukana Mama? Maana Makonda juzi kasema mawaziri ndiyo wamemtukana Mama na Lema kasema hivyohivyo. Sasa ni wakina Nani hao ambao unasema ni upinzani wanatukana? Au CCM wakitukana wanaitwa upinzani?? Au Yule Dada wa Kipare Kimambi sasa ndiyo upinzani!?. Yaani badala ya kutatua...
Mnakuza mambo wenyewe ni watu wangapi wanatukana watu? Kwenye mtandao upi maana hapa naona watu wanajadili hoja tu. Sasa kama mnaenda kwenye mitandao ya umbeya inayo ongelea wasanii na kufikiri hamtatukanwa mnakosea. Hiyo mitandao ni ya kuuzwa. Hata Raisi wa Marekani natukanwa kila siku lakini...
Ungesema Watanzania wengi. Kuna Watanzania wengine tunajali nchi kuendelea hizi kiki, uchawa na drama hazitusaidii chochote badala yake hii system ya Tanzania inanufaisha wachache sana. Tatizo Watanzania wengi kama mfano wako mnajiona ni wanyonge nyonge tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.