Hakika wazanzibar mtakuwa katika hali ngumu sana kwa hilo mlilolikubali, hao wawakilishi wenu wanaweza kuwaingiza katika hali mbaya endapo tu hayo waliyoyakubali yatakuwa sio msaada wa matatizo yenu. Ombeni mungu awasaidie......
Kusema eti kiwango kimeshuka ni uongo na matusi kwa kocha mkuu wa staz kwa kumkubali kama kipa namba 1 wa tanzania, ukisema kushindwa kwa kumlipa pia ni uongo, mi nafikiri ni kumchoka au chuki ya kiongozi 1 wa SSC.
Mmmh!!!, hapo chacha. kazi kwenu police kujibu mapigo hayo, hivi ni kweli police wetu washafikia hatua hiyo!!, ulinzi upo wapi kwa raia sisi?, kama ni hivi inabidi tuanzishe ulinzi wetu wa kulindana wenyewe raia.
Hii inamaana Tanzania na Burundi zinaenda kutolewa ktk East Africa Community, ina maana gani wakutane marais 3 tu, na agenda za maendeleo wafanye wao tu?, tunaelekea wapi jamani.
Nahisi mh. Pinda huwa anakosa ufikilio wa haraka kiasi kwamba anatoa kauli za utata utata tu au tutakuwa tumeshindwa kumuelewa anacho kimaanisha, sidhani kama atakuwa anamaanisha tupigwe virungu au risasi. vema angepewa nafasi ya yy kueleza alichokimaanisha kabla ya huo waraka kusainiwa.
Jamani shule muhimu, japo kuhudhulia miaka minne inatosha.
mm simlaumu sana Diamond kwani tatizo lake Diamond ni hana Elimu, angekuwa na Elimu ningemlaumu.
Kwa kweli nimepokea kwa masikitiko sana kwa uamuzi wa CUF mliochukua kuhusu Hamad,sidhani kama ni uamuzi wa busara uliofanyika. HAMAD ni kiongozi shupavu na ndiyo hata sisi wananchi tulijua ipo siku atakuwa katika madaraka makubwa ya uongozi ndani ya CUF,sasa kwa hili nadhani viongozi wa CUF ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.