Hapo umenifurahisha sana na ndio ukweli mtupu.vijiwe ni sehemu watu wanakotolea frustrations zao na ku pass time tu na pengine kufahamiana tu.hakuna mtu asiye na elimu aliyebebwa na kijiwe akabebeka.
Ukweli ni kwamba vijiwe vingi vinakawaida ya kujinasibu kuwa ndivyo vyenye ushawishi wa mambo mengi muhimu yanayoendelea mjini lakini watu mashuhuri ndio wanaovibeba vijiwe hivyo.ni kweli kwamba mwl NYERERE alikipa umaarufu kijiwe hicho na siyo kijiwe kilichompa umaarufu yeye.kifupi ni kwamba...
uwezekano ni mkubwa kwamba walikuwa wanapakia aidha bangi au mchanga wenye dhahabu maana pale mindu kuna wakati watu walikuwa wanachimba dhahabu wakapigwa stop.
kalikenye wewe kuanzia leo sitachangia mada zako kwasababu hukumu zako haziendi sambamba na KATIBA YA JMT,Na kumbuka sisi tumeratify articles za umoja wa mataifa ya kutambua na kuzitekeleza kwa hakika haki za msingi za binadamu na kwamba kuishi ni haki ya msingi kwa binadamu.MWANGOSI SIYO TU...
umenishangaza sana kwa maoni yako!! for sure you need to go to the class again. kimsingi police hana mamlaka ya kumpiga raia awaye yeyote zaidi ya kumuweka chini ya ulinzi na kumfungulia mashitaka kama ana kosa la kujibu. mwandishi wa habari ni RAIA KWANZA ndio na ndio unafuata uandishi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.