Pole sana mdada ,kwenye vifungu vya usalama barabarani ikiwa ni pamoja na parking layout wanaweza wakawa right.Usikimbilie kulipa hiyo hela kwanza.waambie wakuchoree map na kosa lako lipo wapi.U can sue them ,kwa sababu walitumia nguvu na ukatili.Ilishawahi kunitokea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.