Search results

  1. Domy

    Panya Road waibuka tena Buza, wajeruhi watu na kuchoma mtoto Bisbisi ya kichwa

    Polisi wetu waliingizwa sana kwenye mambo ya kisiasa hasa kudhibiti wenye Mawazo tofauti na watawala, Walisahau kabisa Kazi yao ya kulinda raia na mali zao! Hapo ndipo tulipofikishwa,So sad!
  2. Domy

    Kamati Kuu ya CHADEMA imezogezwa mbele

    Tuko pamoja.
  3. Domy

    Mbunge wa Ubungo, Mhe. Kubenea akamatwa kwa amri ya DC Makonda

    Makonda hana level ya kumweka ndani Kubenea,Aache ukada,Kubenea ni level nyingine kabisa! wala DC hamfikii kabisa!
  4. Domy

    Kamishna wa Operesheni na Mafunzo CP Chagonja, amehamishwa kwenda Jeshi la Zimamoto

    Bora aende huko tu maana hamna namna nyingine!
  5. Domy

    Rais Magufuli na Waziri Mkuu wafanya ziara ya kushtukiza kwa Makamu wa Rais

    Naye makamu wa Rais afanye ziara za kushtukiza ofisi ya Rais na Waziri mkuu sio kukata utepe tu!
  6. Domy

    Unaruhusiwa kuwaka Bendera ya Taifa katika makazi?

    Niko hapa New York watu wameweka bendera za Marekani!
  7. Domy

    Ratiba ya Utoaji heshima za Mwisho na kuaga mwili wa Alfonce Mawazo

    Inauma sana lakini hakuna namna nyingine! Pumzika kwa amani Alfonce,kila nafsi itaonja mauti,wewe mbele sisi nyuma!
  8. Domy

    Mahakama Kuu yampa ushindi Baba wa Mawazo, Mawazo kuagwa na kuzikwa kwa heshima zote

    Kamanda Mawazo pumzika kwa amani! ulichokianzisha tutakiendeleza!
  9. Domy

    Lowassa atinga Kahama kusalimia watu waliofukiwa kwenye machimbo

    MUNGU awasaidie wapone haraka!
  10. Domy

    Familia ya Mawazo na CHADEMA washinda kesi ya pingamizi la polisi, sasa kesi ya msingi kusikilizwa

    Polisi Tanzania jaribuni kushirikisha kichwa katika maamuzi yenu! vinginevyo mnajiaibisha bila sababu za msingi!
  11. Domy

    Kwa nini Sitta Hakuhudhuria Hafla za Kuapishwa kwa Waziri Mkuu na Hotuba ya JPM?

    mtaka vyote kwa pupa hukosa vyote,6 amekosa vyote!
  12. Domy

    Polisi wapiga marufuku shughuli za kuaga mwili wa Mawazo

    Tunazuiwa kuaga marehemu kweli? nchi ya kidemokrasia? Siku askari polisi akiniomba rushwa ndiyo mwisho wa kibarua chake!
  13. Domy

    Nimepigwa faini ya 30,000/= ya kioo cha mbele cha gari

    Hiyo umepigwa,pole sana kwa ujinga wako!
Back
Top Bottom