Hayu Ndungulile na hao anaowaita mafisadi wote ni wamoja kilichotokea ni ile hali tu yakuwa fungu linalopatikana kwenye kivuko yeye halimfikii! Hizo ml .10 ambazo kila siku zinachakachuliwa c pesa ndogo kiasi ambacho siku zote asiseme na aseme wakati huu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.