Katika hali ya kutatanisha Mhe. Diwani wa Viti Maalum (CHADEMA) Moshi Mjini amekamatwa na kushikiliwa na jeshi la polisi kuanzia siku ya jumatatu tRehe 1/4/2013 saa 4 asubuhi hadi jana tareh 2/4/2013 saa 8 mchana.
Diwani huyu ambaye pia ni mchungaji wa kanisa la FPCT alikamatwa akiwa...
Wakati wenzetu wameona madhari ya wachache kujimlikisha ardhi, serikali ya Tanzania chini ya CCM inapora ardhi kwa kuwamilikisha watu wanaojiita wawekezaji hilo baadaye litakuwa mwiba kwa Mtanzania atakeyebaki bila ardhi na kugeuka manamba. Serikali inatakiwa iwe na sera nzuri ya ardhi yenye...
Nimekuelewa sana mkuu, na naamini kwa hili lililotokea bungeni jana wana Dar es Salaam watakuwa wakosefu wa kwenda ahera kama watawachagua tena hawa vichwa maji.:A S angry::confused2:
Wewe ndio mwenye kuona karibu kuliko mbali naa ni wewe we ku think out of box kwani wana Mtwara hawasemi gesi wanataka waitumie wao tuu, cha msingi ni suala muhimu ambalo wasukuma walifukiwa kule Bulyankulu na mpaka sasa faida wa wao kuondolewa kwenye ardhi ile haionekani kabisa zaidi ya...
Nakubaliana na marehemu Chachage kwa asilimia mia tatizo la nchi hii ni maamuzi ya top down siku zote na sasa hivi kila wananchi wanapohoji masuala muhimu serikali husingizia wapinzania sielewi hili linatoka wapi.... anangalia link hapo chini akina Mangungu (Aloyce Masanja - Mkurungenzi Mkuu -...
Wewe ni MBUMBUMBU KABISA, Kwa kifupi watanzania asilimia 99 wenye magari pamoja na wewe unaejiita mwanamume wanatakiwa kuendesha magari ya aina hii, kujikweza sio maendeleo weeeeeeeeeeeee kwa kifupi ni MWIZI sio mhangaikaji ndio maana unamcheka anayetaka kununua Vitz.
Hii ni mfano mzuri wa watanzania wengi na ufinyu wa kutofuatilia mambo mbali mbali yanayotokea katika jamii yetu, kazi yetu ni kurukia ajenda bila kufanya research, hivyo basi nakuomba ndugu yangu Mafilili ufanye research ya yale Tundu aliyosema hasa kutokana na kujibu hoja yake kwenye tume ya...
pumbafu kabisa ya nini yote hayo toka mwanzo ni utumbo mtupuuuuuuuuuuuuuuuuuu..........................jamaaa aliyemuandikia ni mtupu kabisa na huyu waziri siamini kama anapewa presentation bila kipitia wote viraza fukuza.
Nimewaona wengi wao ni wanawake waliojichubua sana, sidhani kama bado watanzania tunategemea kundi hili tena kwa miaka ijayo, uswahili sasa basi so tuachane na hao ma mama mfilisi.:blabla::blabla::blabla::blabla::blabla::blabla:
Jamani pamoja na kwamba mimi si kipenzi cha Kigwangala lakini kwenye sakata hili napenda kusema kama mfumo wa kisheria unazingatiwa mbunge hana wajibu kabisa wa kuingilia masuala ya uhamiaji, labda nikiri kuwa mfumo umekufa kila mtu anafanya lake ajuavyo........UDHAIFU
Nina ndugu yangu alikuwa kwenye kamati maandalizi ya sherehe ya kuzima mwenge anasema gharama ilikuwa M200 aachia mbali gharama za mzee dhaifu na watalii wenzake kwani kama unavyojua gharama zao huwa ni siri.
Piga mahesabu gharama ya dawati moja ni shilingi ngapi then jaza mwenyewe...
Katika hotuba yake Kikwete anazungumzia kuwa Tanzania kuna ardhi ya kutosha, watanzania nawaambia hivi hakuna ardhi ya kutosha mpaka tuaalike waarabu kuja kuwekeza kwenye ardhi yetu ndio maana unaskikia kila siku kuna migogoro ya ardhi, wananchi wanauawa kwenye hifadhi ya wanyama kwa sababu...
Kwa ujumla ripoti hii imekidhi hadidu za rejea za kamati, kumbukeni nchi inakasumba ya kuundwa kamati/tume mara kwa mara hasa kwenye masuala yanayohusu serikali na serikali hiyo hiyo ambayo huwa inaunda tume ama unaweza kuita siku hizi kamati baada ya wananchi kueleweshwa na Tundu Lissu, kwa...
Sio kwa bahati mbaya hata kama wengine watakuwa hawana undugu lakini wanapita kutokana na kufanana majina, CCM inawenyewe hivyo wengine wataingia kutokana na ujamaa, mambo haya yako hata nchi zilizoendelea kama Marekani......Bush senior......Bush Junior, Clinton hubby......Clinton wife.
Profesa Lipumba alinifundisha Chuo Kikuu napenda kusema ni mmoja kati ya ma Lecture wachache sana ambao walikuwa wanafundisha na kueleweka kwani alikuwa anatoa mifano ambayo inaendana na uchumi wa nchi hii, tofauti na ma Lecture kama Dr. Mpango wa tume ya mipango ambaye ndio anatakiwa atengeneze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.