Hakuna cha kuuwawa wala nini hiyo ngoma lazima itakuwa imepasukia tumboni tu, kama yule aliefia kwenye bus.Ngoma ikipasukia tumboni hata upelekwe wapi lazima udanje tu na wanalijua hilo lakini wapi.so mtu alie park mzigo hakuwa makini.
Kuna watu wana hamasisha watu wajiunge kwenye huu mtandao wa TeleFree (DSM,MWZ & ARUSHA HII KITU IPO ) binafsi bado sijaujua vizuri.
Ili kujiunga unatakiwa utoa USD 400.00 au USD 1,600.00 na zaidi.Hizo pesa unampatia muwakilishi wa hiyo kampuni ili azitume kwa wahusika then ana...
Nini mitandao ya kijamii.Mitaani zimejaa BAR NA Nyumba za kulala wageni, magazeti ya udaku kila kukicha yana promot uasherati.Ndo kila kukicha zinavunjika na kuacha mama analea peke yake.So tusishangae hayo maambukizi kwa vijana.
.MAGUFULI Ajiuzulu kwa kututengenezea barabara zisizo kuwa na viwango.Magari hayo hayo huku TZ yanalaumiwa kuharibu barabara mbona hayazuiliwi huko yaendako,mengi yanaenda ZAMBIA,CONGO,ZIMBABWE,BURUNDI,UGANDA RWANDA.Inamaa yakifika huko na uzito unapungua? Wenzetu bara bara zao zina ubora wa...
.Kipimo kikuu cha kujua Eid ni lini ni pale Mahujajj wakiwa Arafa. Usijichanganye we shika hili wala hutosumbuka wala kuyumbishwa jombaa. Kwa wenye akili timamu hawahitaji kutangaziwa sikukuu na hao wapiga ramli wasioenda shule BAKWATA
.Jamani tusipotoshane, Eid hii ya kuchinja au Eid kubwa haihitaji muandamo wa mwezi au kalenda, Tunatakiwa kuwafuata mahujaj na Ibada ya Hijja inavyo kwenda na pale wanapoingia/kuwa ARAFA Waislam ambao hawapo kule ni sunna kufunga na siku inayo fuata ndio sikukuu yenyewe.Kwa mfano sasa Juma3...
Mtoto wa waziri bahati mbaya alipata Div 3 na wa Mtaafu tena wakike kapata Div 1.Lakini board ya mikopo imemnyima wa mlala hoi aliye faulu akapewa mtoto wa waziri aliye feli.wanajuana na yule mtoto wa waziri.Mtoto wa waziri alimueleza mama yake (waziri) mbona rafiki yangu kakosa mkopo na ilhali...
Zifuatazo ni nyaraka muhimu zitahitajika na REAL Ins.PF 93, PF 90,SCATCH MAP,REPAIR COST FROM REPAIRER LAZIMA AWE APROVED NA ATI,PHOTOZ,LAZIMA UJAZE CLAIM FORM, NA UJIANDAE KUCHANGIA KIDOGO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.