Mkuu, huyu dada hajitambui. JPM kaingia madarakani mishahara hakuna. Bandarini wizi mtupu. Nchi ma deal kila mahala.
Huyu dada anachekesha sana.
While we agree kwamba Kikwete kafanya mambo mazuri, BUT it is a joke, kumlinganisha na Nyerere au eti kusema kuwa he was the best president of this...
Kwa haya uliyoaandika, inaonyesha jinsi gani ulivyo mjinga. Baada ya Miaka 20 Rais atakae kuja na kuiacha hii nchi, definately ataacha nchi yenye shule nyingi, umeme, vyuo nk kuliko wale wa nyuma yake.
Kila siku haya mambo yanafanyika na kujengwa kwa kuwa population inaongezeka. Kumbuka kipindi...
Mzee Tupa Tupa wa Lumumba, suitegemee #Mwigulu Nchemba aje hapa ajibu tuhuma hizo mkuu. Wewe mwaga data na upupu wote hapa ndo itakuwa sawa kabisa.
Ukifunga mjadala kwa namna hii hujasaidia Taifa na nafsi yako pia. Funguka mkuu.
Atetee Elimu yake kwani fake? Mnaoona ni fake leteni vigezo na ushahidi kuwa ni fake. Ila sometimes watu mnachekesha sana. Sijui ni msongo wa mawazo na maisha magumu ndiyo vinawasumbua. Tulieni vijana watu wapige kazi,. Majungu hayana nafasi katika era hii.
Zamani watu walikuwa wanang'aka ukiisema vibaya UDSM, lakini kwa kuwa ni PhD ya Magufuli aliyopiga UDSM leo UDSM inapigwa zengwe. Kweli siasa zinaharibu sana watu.
CV Ya Dr. John Joseph Pombe Magufuli ~ LEWIS MBONDE BLOG
EDUCATION
School Name/Location
Course/Degree/Award
Start Date
End Date
Level
Chato Primary School
CPEE
1967
1984
Primary School
Katoke Seminary Biharamulo, Kagera
CSEE
1975
1977
Secondary School
Mkwawa High School
ACSEE...
Mnafiki tu huyu Prof nae. Mbona alipewa Uwaziri wa bure ili ajitibu vizuri alikaa kimya?? Atueleze katika Uwaziri wake alikuwa na kazi gani. Mshukuru Kikwete. Siasa kweli unafiki
Pia msisahau kuwa Professors wengi na Phd holders wengi walioanzisha vyuo vingine na wanaofundisha huko ni zao la UDSM. Haingii akilini kwa nini wahitimu wa huko muwaone kuwa hawana chembe ya ufisadi. UDSM lazima wawe ni victim kwa kuwa wamezalisha wahitimu wengi na kwenye msafara wa mamba kenge...
Hakuna correlation ya wizi na UDSM. Kwanza kwa taarifa zako vyuo vingi zamani vilikuwa ni matawi ya UDSM. Kuna wala rushwa wakubwa hata UDSM hawapajui na tuna wazalendo wengi sana wamesoma UDSM. Tusilete masihara na chuo kikongwe bongo wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.