Madame b,
Dudu, ipi maana ukubwa in relative term, Nina maana kitu Kimora kinakuwa kidogo au kikubwa kutokana na ukubwa au udogo wa Dudu nyenzake.......
Naikataa ccm kwa Kuwa bado inaendesha serikali kwa mfumo wa kizamani, hawaendi na wakati, mpaka sasa hawajui watanzania wanakua nini? Bado wanajilimbikizia posho, wanabambika bei manunuzi ya serikali, wana malipo hewa ya mabilioni ya shilingi, matumizi ya fedha za watanzania kwa mambo yasiyo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.