hawaijui katiba.home ni wa Jumbe gani hao? tangu lini Jumbe wa m4 c wamekuwa wa Jumbe wa mkutano mkuu na baraza kuu Taifa. haya hiyo orodha ya majina imeandaliwa na kusainiwa na MTU mmoja. aibu wajinga kweli hawajitambui. kitila na zito acheni kujiaibisha
namba ambayo prof anasema alishaigawa miezi 6 iliyopita, ingawa aliiandika katika tamko lake ni 0784993930, ndiyo namba inayotuma ujumbe wa vitisho. Namba inayotumika kutuma pesa ni 0755993930, imetuma zote hizo, tuma kiasi chochote ujue jina. Watanzania tuache siasa kwenye maisha ya watu.
Kaeni mkijua hata majambazi wana itikadi, ujambazi ni ujambazi tu, kama ambavyo akina kinana, wanaouwa wayama porini na hong,kong yao huu sii mauwaji, we unaakili ya makengeza. Huna jipya, lakini ianavyoonekana kuna watu wa ccm wameitupia mana wapo humona ukijani wao kupanga prap. Huwa hawakawii.
Hoja ya Kigwangala Spika aondoke ilikuwa ya mashiko, hata kama sababu ilikuwa hii, Spika kwa kutajwa na watoto hawa kufanya negotiation kwa suala zito namna hii, kisha kushindwa kumwita Kapuya kufika dodoma, Spika amejidhalilisha. hapa ndio wanawake mjijue mko wapi, na kelele zenu za 50% kwa 50%...
Lissu ameokoa taifa letu kwa kulelezea kwa hoja sheria ya Magazeti ambayo imekuwa ikilalamikiwa, akamhenyesha sana Werema kwa Maelezo yake, wabunge wenye akili wakaona linafaa wakapiga kura kumpinga Mwanasheria hatimaye adhabu hii kandamizi ikaondolewa ...
NAMUUNGA mkono Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kuwa tangu Rais Kikwete aingie madarakani mwaka 2005 elimu imeshuka mwaka hadi mwaka.
Hii ni kwa mujibu wa taarifa rasmi ya Ofisi ya Waziri Mkuu ya Machi 2, 2013. Pinda anatoa ufafanuzi wa taarifa hiyo wakati akizungumza na wajumbe wa tume yake kwenye...
Watanzania watalia usiku na mchana wakisema wana Maisha magumu, watasema wanataka mabadiliko. Lakini Kikwazo kikubwa ni Wahariri nchini kuishi bila kujitegemea kimawazo, bila kuweka maslahi ya taaluma zao mbele, wao hubaki kujikomba kwa Mashirika makubwa nchini yawafadhili pesa kwa ajili ya...
Kibanga kwa Ratiba hii hata watu wakiandamana watakuwa na haki kabisa. Ndugai, ametumika kusoma upuuzi Bungeni, wabunge wa CCM wote wakashangilia na kupitisha wakiongozwa na maoni ya Pindi Chana aliyekuwa anataka kuhakikishia watu kuwa Lissu alikuwa mwongo akasaidiwa na Lukuvi na Werema, huu ni...
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali Eliezer Feleshi amesema tukio la kumwagiwa tindikali kwa raia wawili wa Uingereza sio la kigaidi. "matukio haya yasichukuliwe jumla jumla, sisemi moja kwa moja kuwa tukio hilo ni la kigaidi ila naomba tuhamasishe jamii ya watanzania utii wa sheria bila...
Kile ambacho tunalalamika kila siku na kutoa ushahidi lakini serikali inapuuza.
Chama cha Mapinduzi wakiongozwa na Mbunge wa jimbo la Segerea na Naibu waziri Makongoro Mahanga wamefanyia mkutano kwenye mlango wa kituo cha Polisi kana kwamba hakuna viwanja vingine.
Polisi wakashindwa kufanya...
Hapa Mkuu wa Kituo wa makuyuni akipiga stori na Kada wa Chama cha mapinduzi aliyevaa kofia ya CCM , aliyenyang'anywa mirungi na afande huyo muda mfupi baada ya tuki la Mbunge wa Arumeru Mahariki Joshua Nassari kutekwa. Kada huyo hajawahi kutiwa hatiani hadi leo
Mimi nimeipenda picha kabisa. Sielewi kwanini Askari wote wakapatwa na usingizi kwa wakati mmoja, ila sijajua walikuwa wapi, wamechoshwa na nini? kwanini wote wachoke kwa wakati mmoja. Wakaamua tu mmoja kichwa juu, mwingine chini. Usingizi kwa kwenda mbele
Wapendwa wanajf. Nasikitika kuwatarifu kuwa wajumbe wa mabaraza ya katiba waliochaguliwa wamechaguliwa bila waraka kufuatwa, kwa kuzingatia sifa halisi za waombaji na kama waraka ulivyoagiza. Ambapo moja ya sifa ya mwombaji ni awe anajua kujieleza,na kupambanua mambo, hivyo wote walioteuliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.