Pole bro ..usiangalie return kwa sasa ( salary) focus zaidi kwenye kazi. Kama hiyo kazi ya masaa 14 ina add value kwenye experience yako basi utakuwa ni mtu mwenye faida sana kuliko yule wa masaa 8 halafu ha gain chochote in term of experience...hiyo salary isiwe ndio kigezo, ila kama kazi...
Kaka pole sana hoja si interviews..mimi binafsi nimeshafanya interviews zaidi ya 7 hivi...lakini sijafanikiwa na nina experience ya kutosha ...na kingereza nakijua sana tu na confidence ya maana....imefikia wakati nikiitwa interview nafikiria mpaka kutokwenda koz nahisi ni changa la macho...
Ndio kwanza umegraduate how much do u want? Sikiliza ikiwezekana ktk huu mshahara wako fungua akaunti aina ya saving ambayo utajiwekea akiba angalau 50,000/= kila mwezi...then mambo yako mengine yote yaishie kwenye 330,000/=, hiyo 50,000/= unayo save itakuja kukutoa baadae...Pia endelea kuua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.