wabunge wetu, na waziri wa katiba na sheria ni wavivu wa kupitia hizi sheria ambazo zinamgusa mwananchi moja kwa moja. They just seat on the Paliament House to warm the benches. Inauma sana....
Watu wasipokuwa makini wataangamia....Dada zetu nao, hisani au shukrani pekeeambayo wao wanaona kuwa inastahili kutoa kwa mwanamume ni mwili wao. Hata kusema ASANTE inatosha sana wala siyo kutoa mwili.....Wabeja sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.