Search results

  1. M

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Hawezi kukubali kwa sababu zifuatazo: 1. Kuipa Israel anga ya Saudia ili ikapige Iran kutatafsiriwa sawa na Saudia kuiunga mkono Israel na vitendo vyake kule Gaza. 2. Iran italipiza kwa kurusha makombora ndani ya Saudia
  2. M

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Mbona uliamini Israel ilipokuambia asilimia 99 ya makombora ya Iran yalitunguliwa?
  3. M

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Israel haina silaha yake bali ni silaha za Marekani kwenye mikono ya Israel. Iran inatengeneza silaha zake yenyewe tena silaha bora kabisa na nyingine anazitumia Urusi kule Ukraine mfano Shaheed 136 drones. Kwa teknolojia ya kijeshi Iran kaizidi Israel mbali sana. Kinachoisaidia Israel ni msaada...
  4. M

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Iranian nuclear sites are very hard to hit. Zimejengwa underground kilometa kadhaa chini halafu juu kuna layers kibao za zege kali. Huku juu ni majengo tu lakini mitambo yenyewe haifikiki hata kwa bunker bursters za Marekani
  5. M

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Kajifunze kwanza kuandika ndipo uje kubishana na mimi. Kubishana na kilaza ni matumizi mabaya ya muda.
  6. M

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Iranian media reports dismiss attack came from abroad While we still wait for official comments, Tasnim news agency has quoted “informed sources” as saying that “there are no reports of an attack from abroad against Isfahan or any other part of Iran”. Separately, an Iranian analyst argued on...
  7. M

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Mkuu hujui lolote na unapotosha. Iran kapigana na Iraq ya Saddam Hussein iliyokuwa inaungwa mkono na Marekani na nchi zote za magharibi pamoja na majirani kama Saudia, Kuwait UAE na wengineo kwa miaka minane kuanzia 1980 hadi 1988 na technically alishinda ile vita. Nikujibu yafuatayo: 1. Iran...
  8. M

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Israel haina uwezo huo kwa sasa. Kwenye lile shambulio la Iran walitumia USD3.5bn ndani ya usiku mmoja. Vipi vita vikichukua mwezi?
  9. M

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Ndege za kivita huwa zinarekodi mashambulizi ardhini. Tuwekee video ya hilo shambulizi tuone.
  10. M

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Makombora mangapi ya Israel yametua ardhini na kuleta uharibifu? Maana mlihoji makombora ya Iran kule Israel. Vipi nyie makombora ya bwana wenu Israel yameharibu nini ndani ya Iran?
  11. M

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Povu linavyokutoka utadhani umeliona hilo shambulio lililofanyika. Tena unaonyesha chuki kabisa utadhani wewe ni Zionist!
  12. M

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Hata shambulizi la Iran lilikuwa na ujumbe kwa Israel kwamba hawako salama na wanafikika kwa makombora kutoka Iran.
  13. M

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Hata Iran wanajua vinu vya nyuklia vya Israel vilipo. Kwahiyo piga changu na mimi napiga chako.
  14. M

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Tena mikwara yote ile walituma drones tatu tu na zote zimetunguliwa. Kwa ufupi shambulizi la Iran dhidi ya Israel limeifilisi Israel. Iran ilitumia cheap drones na makombora ya zamani yenye gharama nafuu wakati Israel ilitumia takriban USD 3.5bn kutungua hizo drones na makombora na bado hizo...
  15. M

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    According to Aljazeera today (19th April 2024) An Iranian arms control expert says the reported attack “was far more limited than many expected”. In an interview with Al Jazeera, Ali Ahmadi said Israel “has much more limitations in its operational range” than many think. “Certainly, after...
  16. M

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    According to Aljazeera, RT and CNN the so called strikes are nothing just like an act of sabotage. Air defense systems were activated against suspicious objects in the skies and three drones were intercepted and destroyed. It was not an attack to match the scale of Israel rhetoric and vows for...
  17. M

    Joseph Musukuma: Kikokotoo kinawaumiza wananchi, tunatengeneza taifa la wezi

    We jamaa chenga na boya kweli. Kwa taarifa yako wafanyakazi ndiyo walipa kodi wakubwa kuliko wafanyabiashara na nyie watu wa mtaani. Tena wafanyakazi hawana pa kukwepea hiyo kodi kama walivyo wafanyakazi na watu wa mtaani. Unawaonea husda wafanyakazi kwao wao ndio waliokutuma uache shule na...
Back
Top Bottom