Nina jamaa yangu alinusurika kufa lakini alilazwa Hospital zaidi ya miezi 10 na alipotoka huko akakuta Nyumba sio yake tena, watoto wamehamishwa kusikojulikana mpaka wa leo anaishi maisha sawa na ya jalalani,
Jaribu na wewe uone
Huyo Prof mwambieni Sasa Ni wakati muafaka alete kidonge Cha mchanga kisichokuwa na wanga ili tukila tunashiba na kutosikia njaa, hata hivyo tusipokula vyakula vyenye wanga mwili utapataje nguvu? Wake zetu watahudumiwa na nani?
Manara Asante sana kwa kuwa na Tabia za kisukuma, msukuma Bora umuue kuliko kinyesi chake kichanganyike na mtu mwingine ndio maana hachimbi choo na akichimba anakuachieni yeye porini na jiwe lake la kuchambia
Kinachonishangaza Ni kwanini TAL ameenda kwao pamoja na kutaarifiwa kuwa kipindi kimeahirishwa? Inabidi Lissu awe na jicho la tatu kila pale anapokuwa amealikwa hasa na mahasimu wa chama chake asifikiri risasi 16 ndio stock imeisha kwani kujaribu kumnyang'anya tonge kichaa Ni kujaribu kumuua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.