Nahisi wanaita kwa awamu kwasababu ya udogo wa eneo tukiitwa wote kwa siku moja tutajaa sana ofice za watu hlf kunakua na kama fujo hivi labla ndio maana wanaita kwa grup ila nina amin wale wote waliorepot mwaka jana lazima wataitwa tu
Habari wadau, naomba kufahamishwa utaratibu wa kukodi kiwanja mnazi mmoja opposite na peacock kwa matumiz binafsi kwa maana ya kwamba sio maonesho ya serikali. Ningependa kujua gharama zipoje na taratibu zake... asante
Yan haya majanga na mimi yyamenikuta, AG aamekuwa kimya sana hata mahakama pia zile nafasi za hakimu mkazi wametuacha tu pending hakuna kituo sijui shida ni nin
Jaman wakiita watu wachache oooh wanabebana wakiita wote wenye vigezo wanatuonea, hebu wapeni ushauri wafanye nin itasaidia kidogo kuliko kulalamika laiti ukifanikiwa pata hiyo kazi utaona walikua sahihi kukuita interview ila ukikosa lazima ulalamike
mh me siamini kwa sababu mimi pia nimepata barua kuitwa kazin kwa AG na nakuhakikishia simjui mtu wala sikutoa hela tena intavyu niliingia wa kwanza katika panel yangu
tanga wanapenda mapenzi, me nimeolewa na mbondei baada tu ya ndoa alinambia mama ubara wako uishie getini ukiingia tu ndani nataka pwani nakumbuka honeymoon yetu ilikua mwez bas mwez mzima nilifundwa na mume wangu nilishangaa haswaa, wanaume wa Tanga watamu na watafutaji hlf pesa yote anakukabiz...
hawa jamaa nilifanya nao usaili hakimu mkazi II wakasema watatoa ndani ya wiki mbili au tatu ila wapo kimya kabisa mpaka sasa mwezi na wiki moja sijui nini shida
tatizo watanzania wengi wanapenda vitu rahisi, iweje utoe hela upate kazi, kwanin usiwaze kama kweli nafasi zinaexist basi watoe tangazo watu wafanye applications watakaopita interview waajiriwe then b4 starting job ndio wapelekwe hiyo training, yan wakamatwe hao matapeli na wote waliotapeliwa...
Habari wapendwa, mdogo wangu amepata kazi halmashauri wa mji wa babati sasa kwa anayepafahamu vizuri naomba anisaidie kujibu mambo yafuatayo,
1. safe place ya kuishi maana asije tafutiwa nyumba na dalali sehemu zinazoongoza kwa vibaka.
2. kodi chumba na sebule self contained na kajiko inarange...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.