magamba kwa sasa hawana jipya sumbawanga, kilichobaki ni propaganda tu na kuendekeza majungu wakiwadanganya wananchi kwa propaganda zao. huyo fisadi shayo mwache tu aende huko huko kwa mafisadi wenzie
Sure, nilikuwa mtwara siku ya alhamisi joni niliwaona hawa jamaa maeneo ya mikindani ila sikufuatilia sana walichokuwa wanafanya. lakini nilishapata experience ya vitu kama hivyo miaka ya tisini kuna jamaakule mbey pia alikuwa anafanya mambo kama hayo na impact ilikuwa inonekana. for the mean...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.