Search results

  1. sambost

    Kufungua Bucha la samaki Dar kutoka Ziwa Victoria

    Sijakuelewa ,samahani unaweza kuiwek Kwa Urahisi kidogo
  2. sambost

    Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga

    Mtoa Mada , Naomba uniambie Mwanamke ameelezewaje ( awe vipi ) kwenye Familia ? Tumia Biblia Na Mwanaume Ameelezewaje ( Awe Vipi ) kwenye Familia ? Tumia Biblia Kwanini nimekuambia Biblia , Ndio Neno la Mungu Muumbaji ....
  3. sambost

    UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

    Samahani , Uliweka Kiasi gani huko UTT ?
  4. sambost

    UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

    Okay !!! Sasa FIXED yake inaanza miezi mingapi ? Au hamna Fixed ?
  5. sambost

    Nitajihusisha na financial markets maisha yangu yote

    Iyo Fixed Akaunti inaanzia Miezi Mingapi ?
  6. sambost

    Nahitaji ushauri kwa mtaji wa 40 milionI

    Samahani , Unaweza Weka Chini Mchanganuo wa iyo 10 Mil , Ujenzi wa Sebule , Choo , Jiko , Chumba
  7. sambost

    Nitajihusisha na financial markets maisha yangu yote

    Samahani , Ivi katika bonds (UTT) ukiweka 10 Mil unapata Gawio ngapi ? Ni lazima uweke Fixed Akaunti ? Na fixed kuanzia Muda gani ? Na Pesa ya Gawio inabaki humo humo au Inaenda kwenye Akaunti ya Benki ?
  8. sambost

    Nahitaji ushauri kwa mtaji wa 40 milionI

    40 Mil unajenga nyumba ya Ukubwa gani ? Ya Muundo gani ?
  9. sambost

    Je, vijana wa kitanzania wanafahamu juu ya faida za kuwekeza katika umri mdogo?

    Samahani , Je unaweza saidia Kuelezea kuhusu UTT kwenye vipande vya Bond !!!
  10. sambost

    UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

    Kwa Milion 10 , Gawio kiasi gani kwa Mwezi ? Je , Gawio linabaki ndani ya Akaunti yako au Linamishiwa kwa Benki ? Je uweke kwa Muda gani uuanze kupata gawio ? Au Huku hakuna Fixed ?
  11. sambost

    Nahitaji ushauri kwa mtaji wa 40 milionI

    5 Milion, kwenye UTT atapata ngapi kwa Mwezi?
  12. sambost

    UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

    Ukiwekeza UTT lazima uwe na Akaunti ya Benki ?
  13. sambost

    Mkataba wa Bandari, Wabunge wasema waliburuzwa

    Usiogope Usiwe na Hofu , Wakati waja Kila Ovu litawekwa wazi na Kuondolewa !!!!
  14. sambost

    Tuliowahi kuathirika na washindani wapya katika biashara tukutane hapa, ulipitia wakati gani, ulijiongeza, ulihama au ulifunga biashara?

    Tatizo Wengine Hawana Mtaji Wa kuweza Kukaza Kipindi kirefu hasa pale Hasala inapotokea !!!! Inaonekana Wewe ulikuwa na Mtaji ?
  15. sambost

    Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

    Samahani , Milion 10 , Unajenga Vyumba Vingapi ?
Back
Top Bottom