Mtoa Mada , Naomba uniambie Mwanamke ameelezewaje ( awe vipi ) kwenye Familia ? Tumia Biblia
Na Mwanaume Ameelezewaje ( Awe Vipi ) kwenye Familia ? Tumia Biblia
Kwanini nimekuambia Biblia , Ndio Neno la Mungu Muumbaji ....
Samahani , Ivi katika bonds (UTT) ukiweka 10 Mil unapata Gawio ngapi ?
Ni lazima uweke Fixed Akaunti ?
Na fixed kuanzia Muda gani ?
Na Pesa ya Gawio inabaki humo humo au Inaenda kwenye Akaunti ya Benki ?
Kwa Milion 10 , Gawio kiasi gani kwa Mwezi ?
Je , Gawio linabaki ndani ya Akaunti yako au Linamishiwa kwa Benki ?
Je uweke kwa Muda gani uuanze kupata gawio ? Au Huku hakuna Fixed ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.