Hivi kweli huyu jaji mwenye elimu ya kutosha anadriki kutumiwa na wanasiasa hivyo? Lema angekuwa ccm angevuliwa ubunge kweli? Alalways I believe that "mahakama na Polisi vitaharibu amani ya nchi kutokana na kutokufuata maadili ya kazi zao". Lakini ccm watambue kuwa huko ni kutapatapa na mwisho...
Hivi kweli huyu jaji mwenye elimu ya kutosha anadriki kutumiwa na wanasiasa hivyo? Lema angekuwa ccm angevuliwa ubunge kweli? Alalways I believe that "mahakama na Polisi vitaharibu amani ya nchi kutokana na kutokufuata maadili ya kazi zao". Lakini ccm watambue kuwa huko ni kutapatapa na mwisho...
Unyama huu hauvumiliki kamwe kwani sasa imekuwa ni kawaida kwa wale wasiopeenda chama cha magamba kuchalangwa mapanga. ilitokea Igunga, mtu kamwagiwa tindikali huko Arumeru na sasa Mwanza. kwa vile polisi wamehindwa, basi nguvu ya umma itumike maana polisi always ni kulinda tabaka tawala.
Kinachoendelea sasa ni kwamba kila kiongozi huwaza kuiba tu. TRA ndo wamezidi ufisadi sasa nani atamlaumu mwenzake? Mtoto feki wa mkulima haachi kujitapa kuwa tuna uchumi unaokuwa kwa kasi. Sasa yeye na bosi wake wataumbuka.
Sifa ya kwanza ya mtu kuwa mbunge ni kuwa mwanachama wa chama cha siasa. Ndo maana TZ haina mgombea binafsi. Hivyo kafulila hatakuwa na chake tena. Angalizo: Katika mabadiriko ya katiba yajayo lazima suala hili likaangaliwe kwa umakini maana kwa sasa, mbunge huwajibika zaidi kwa chama kulilo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.