Natafuta mashamba ya kulima mahindi ya kumwagilia Mororgoro yeyote yule mweneye idea wapi nitapata shamba ambalo nitaweza kuchimba kisima na maji yapatikane mwaka mzima anijulishe
we nape unjikaanga acha papara na kukurupuka ni wapi lowasa alitamka anaanza safari ngumu ya kugombea uraisi? yy alisema anaanza safari ngumu ya kuwasaidia wtz wapate maji na elimu inausiana nini na uraisi? mtafungwa nyinyi kwa kuaribu kiswahili kutafsiri mnavyotaka
wakuu afande ana nguvu kubwa moro tuulizeni wakazi wa moro ndio tunajua jamaa ajawahi kulimbuka na umaarufu amekuwa bega kwa bega tangia zamani sna kabla ajawa sauti ya simba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.