Jamani waandishi wa habari,
Hebu thibitisheni habari hizi kwa umma wa watanzania.
Nendeni mpige picha zenu, video,
M-hoji wagonjwa,
ikiwezekana na ndugu zao
na uongozi wa Hospitali kwani tuliwashuhudia sikuchache kwenye TV wakijigamba kuwa huduma zimerejea kama kawa!
Tupate ukweli.
Watanzania...
Kuna huduma ambazo lazma uende Muhimbili.
Tiba ya mifupa kwa mfano, tiba ya ubongo lazma uende Muhimbili.
Na inaonekana ni makusudi wagonjwa hawatibiwi.
Hizi ni wodi za upasuaji.
Hakuna dokta wa kupasua japo wanakuja kazini,
au japo wanapasua, ni kwa kusuasua mmoja kwa siku anapasuliwa alafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.