Hawajali wapalestina wenzao wasiokuwa na hatia zaidi ya 34k waliopoteza maisha, wao wanaona fahari kuwaweka salama Waisrael 30!?
Hii ni zaidi ya mtindio wa ubongo.
Pole sana.
Ila kwa umri wako unastahili sasa kuangalia mambo kwa picha kubwa zaidi.
Mambo ya ngono yapo tu, onyanyeni msameheane maisha yaendelee kwa faida ya watoto.
Tangu lini maiti wakaandamana?
Mengine yote uliyoandika uko sawa, ila Hilo la kuandamana haliwezekani hapa Tz., wabongo ni sawa na mizoga....hawahisi chochote!
Luka siku za nyuma ulikuwa unasimama hoja zako(ulizoamini ni sahihi) bila kuchanganya na matusi.
Siku hizi naona uzalendo umekushinda.
Ila kumbuka heshima ya mtu hujengwa na matendo yake.
Tumshukuru sana Mama yetu kipenzi Dr Samia Suluhu Hasan kwa kuwezesha shilingi yetu kuporomoka kwa kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa na raisi yeyote.....asante sana mama!
Tatizo kubwa la nchi za kiafrika (hasa baada ya kujitawala)ni kufanya mambo yake kwa mihemko ya kisiasa bila kuangalia lengo na msingi wa jambo husika.
Miungano ya maeneo mbalimbali katika hili bara imekaa kisiasa zaidi kuliko kiutendaji.
Hata AU yenyewe ukiiangalia kwa jicho la tatu utaiona...
Pole sana kwa yaliyokukuta....ubinadamu kazi!
Ila kwa jinsi nilivyosoma maelezo yako inaelekea kuna namna umemkwaza wakati unamsaidia(aidha kwa maneno au matendo), jitafakari.
Kwa mazingira ya kawaida hawezi kumshukuru aliyetoa elfu tano akakuacha wewe wa laki tatu.
Angeacha kushukuru wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.