Aliyewabatiza CCM kwa jina la Interahamwe hakukosea. CCM daima mnawaza kujeruhi, kuangamiza na kuua kabisa. CCM ina mambo inawaza na kupanga mambo ya kishetani na kichawi chawi. Hizi ni tabia zilizopitiliza za Interahamwe. Ndio maana nchi haisongi mbele kwa fikra kama hizi
Vijana wa Interahamwe mna akili fupi! Hivi akiwa Deogratias Freeman Mbowe ndio kutatoa uhalali kwake kuwavua magamba ama kutabatilisha? Furahia basi, anaitwa Deogratias Freeman Mbowe na emazaliwa na mama yako, Chakubimbi mkubwa wewe!
Wewe nawe ni mmoja kati ya vijana wa Interahamwe mliathiriwa na unga unaoingizwa nchini na watu wanaojulikana na mwenyekiti wa chama chako. Unahitaji kupewa tiba ili uwe sawa
Unga unawaharibu sana nyinyi vijana wa Interahamwe. Yawapaswa mumuambie mwenyekiti wenu awachukulie hatua wale vigogo anaowafahamu kuingiza unga nchini tofauti na hapo mna hali mbaya sana
Unawezaje kuifananisha MDC na CHADEMA. CHADEMA ni mwalimu wa upinzani Africa. Wanakuja kujifunza CHADEMA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.