Wakuu,
Kukosea kufuata maelekezo yenyewe ni udhaifu tosha.
Nimesema hamna mtu wa kati kati. Tuma CV kwa HR@sfgroup.co.tz
Usitume namba yako hapa. Wala usiniombe nikupigie. Hakuna mtu kati na hakuna rushwa.
Wandugu,
Tunatafuta Watajwa hapo juu ambao wanajua vyakula. Utunzwaji wa vyakula.Sifa ni cheti mpaka degree.
Cha muhimu ni kujua au kuwa ushawahi kufanya kazi kwenye stores ya vyakula (kutunza Nyama, vyakula vya baridi na vikavu na vinywaji)
Kama una sifa hizo na upo tayari kufanya kazi nje...
Wakuu,
Natafuta mfanyakazi wa ndani ila awe ni wa kike na amemaliza elimu ya sekondari.
Mshahara ni shillingi za kitanzania laki moja Net.
Atakua anakaa kwangu. Kazi yake kuu ni kusaidia kuhudumia mtoto wa miaka miwili.
Mwenye sifa hizo anipigie 0768 224 007 au atume ujumbe...
The problem with that facebook Group ni mpaka uombe iwe approved. Sio ya ku like. Anyway nipostie basi kasha waambie simu ni 0768 224 007 Wakuu, Natafuta Engine control box for Toyota Mark X. Engine number 4GR-FSE Control box number 89666 - 22070 Denso . Mwenye nayo naomba awasiliane nami
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.