Wafanyabiashara wengi wanakuja na magari kujua mitaa ya hilo jiji utawavuruga tu,
Tuulize sisi watembeza madafu na machungwa uielewe mitaa
Kwanza wanawazaga mambo lukuki mda wote usishangae siku nyingine ukajibiwa huo mtaa uko zanzibar
Nilipeleka mzigo kwenye kampun fulan hapa dar wanipelekee tabora, gundu linaanza mzigo uko chini mwez mzima,
Sasa nikawafosi wakapeleka nusu, nikaenda mpaka pale kaliuwa nikaingia nayo vijijin ndanindani huko,
Siku niliyofika nimeuza sh 3500 yalikuwa ni maplastik,
Sasa nikaona hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.