Search results

  1. U

    FT: CAFCL: Simba SC 1-1 Power Dynamos | Simba yafuzu Hatua ya Makundi

    Bora hata mgunda kuliko huyu kisebengo
  2. U

    Unatakiwa ukae kwa muda gani kwenye penzi jipya kabla hamjapeana utamu?

    napeleka barua halafu niangalie kizuizi gani nitaletewa, maana hawa viumbe hawatabirik
  3. U

    Kwanini wafanyabiashara wengi wa Kariakoo hawaelekezagi vizuri mahali husika?

    Wafanyabiashara wengi wanakuja na magari kujua mitaa ya hilo jiji utawavuruga tu, Tuulize sisi watembeza madafu na machungwa uielewe mitaa Kwanza wanawazaga mambo lukuki mda wote usishangae siku nyingine ukajibiwa huo mtaa uko zanzibar
  4. U

    Tafuta mke ukiwa katika mazingira magumu

    Uko sahihi aslimia zote, ukiwa kwenye raha huwezi kujua yupi fisi yupi mbuzi wote wanatabasam sawa
  5. U

    Unatakiwa ukae kwa muda gani kwenye penzi jipya kabla hamjapeana utamu?

    Hapa kidume nimeambiwa mpaka waione barua kwanza ndo nipewe utam
  6. U

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

  7. U

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

  8. U

    Kataa Ndoa vs Kubali Ndoa

    Ndoa haina ubaya wowote, Ndoa ni kama barabara iliyochongwa na kuwekwa vibao na alama kwa ajili ya watumiaji Ni mtazamo
  9. U

    Marekani yatangaza ufadhili mpya Tanzania

    Hapo kwenye haki za binadamu ndio msingi wa mambo yote na lengo lao litatimia tu
  10. U

    Usiingie mahusiano na asiye na uvungu mguuni, Utajuta

    Tatizo miuno inatuzuia kukagua hayo mengine
  11. U

    Hawa GO BET wanapata wapi ujasiri wa Kutukana Watu Kisa tu hatujajiunga kwenye Hiyo mitandao yao Ya Kubet

    Sasa hawa wahuni ukishinda hela yako utaipata kweli
  12. U

    Maisha yanataka tubebe hatari (take risk)

    huenda uko sahihi lakini je hawa waliofanikiwa wote wanamjua yesu? Mfano Kikwete, mama Samia
  13. U

    Namkataaje mwanaume nisiempenda?

    Unatupa kazi ya kuupangia moyo wako
  14. U

    Jobless: Kila hatua dua

    tusiwalaumu kwa sababu maisha ni kitabu kila mtu anakurasa zake
  15. U

    Jobless: Kila hatua dua

    Nilipeleka mzigo kwenye kampun fulan hapa dar wanipelekee tabora, gundu linaanza mzigo uko chini mwez mzima, Sasa nikawafosi wakapeleka nusu, nikaenda mpaka pale kaliuwa nikaingia nayo vijijin ndanindani huko, Siku niliyofika nimeuza sh 3500 yalikuwa ni maplastik, Sasa nikaona hapa...
  16. U

    Jobless: Kila hatua dua

    maisha nyoko sana, yaani kukata tamaa kunakuja automatic hata uambiwe neno gani unaona kama bolingo tu
  17. U

    Umenitumia weee, ukanioa, alafu umeenda kunitupa shamba, hivi wanaume mkoje

    Kwani kumpeleka shamba mmoja akasimamia mashamba mwingine akaja mjini kutafuta hela ya mbegu na wafanyakazi ni ukatili?
Back
Top Bottom