Search results

  1. KOMBAJR

    Magufuli ni kama Mwalimu Nyerere

    Mwigulu naye alifananishwa na Sokoine pia! Nyerere nilishamuona pia akifanya yafuaayo; 1. Akipiga push ups jukwaani 2. Akitokea juu ya roof 3. Akiruka ruka jukwaani
  2. KOMBAJR

    Msafara wa Mama Regina Lowassa wasimamishwa akielekea Mbeya

    Duh! Mama ni zaidi ya Mgombea hakika utautendea haki u first lady.Mungu azidi kukulinda.
  3. KOMBAJR

    Hashim Rungwe Spunda yuko ITV sasa hivi

    Msalimie! Mwambie Upepo Mabadiliko unaelekea pazuri asiache kuvote kwa Edo!
  4. KOMBAJR

    UKAWA waongea na Wanahabari, Walalamikia Tume ya Uchaguzi na Rais Kikwete

    Misumari kwa kwenda Mbele! hakuna kuacha Ombwe na Habari! :A S 41:
  5. KOMBAJR

    Familia ya CDF Mwamunyange: Yupo nje ya nchi kwa majukumu ya Kitaifa

    #Bring back our CDF Davis Mwamunyange
  6. KOMBAJR

    Ndoto ya Zitto Kabwe mashakani kutimia

    Nini kushinda Urais yeye kushinda ubunge hali ni tete!kupiga kampeni misikitini kisa alisponsor maujaji,kutoa kauli mbaya kwa mapadre airport kisa amekodi ndege kuleta wasanii kigoma siku ya ufunguzi wa kampeni yake. Na ikitokea akashindwa ubunge ndiyo itakuwa mwisho!
  7. KOMBAJR

    Lawrence Mafuru toka hadharani, madai ya hisa za wananchi kuuzwa

    Hii Ngoma ni nje ya ile ya Chama cha waalimu! Duh!!
  8. KOMBAJR

    Lawrence Mafuru toka hadharani, madai ya hisa za wananchi kuuzwa

    Wanakamsemo Kao! Hapakazi tu
  9. KOMBAJR

    Ninamtunuku Freeman A. Mbowe nishani ya Rafidainian Order First Class, ROFC

    Mkuu Yericko upo? Kimya sana tumemiss nyuzi zako ..............
  10. KOMBAJR

    Serikali itueleze sasa alipo Mkuu wa Majeshi, tuna haki kwa mujibu wa Ibara ya 18 ya katiba ya nchi

    I see Jaji Lubuva...... on the same Direction!!!!!:doh:
  11. KOMBAJR

    Mwandishi wa MWANANCHI atimuliwa kampeni za John Magufuli

    Magufuli atakuwepo kwenye uzinduzi wa BRT?
  12. KOMBAJR

    Masaburi awakonga wakazi wa Ubungo

    Jitahidi umalize yale uliyopanga kupitia uchaguzi huu. Unawakilisha maoni yao na bosi wako lakini unawalisha maneno wakazi wa ubungo
  13. KOMBAJR

    Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CHADEMA, Lowassa jimboni Mtama,Lindi - Septemba 23, 2015

    Asante Sana Mkuu Ocampo four kijana wa goli la mkono anajipanga kutoa draw ya kurudisha kadi usishangae kusikia siku za karibu wanachama zaidi ya 2000 wamejiunga na ccm! Hahaha
  14. KOMBAJR

    Hawa ndio Wafadhili wakuu wa CHADEMA ambao Mbowe hataki kuwataja hadharani

    Ebu wasiliana na mwenzako HAMMY D mkubaliane hiyo list yenu,,,Kwahisani ya Twaweza
  15. KOMBAJR

    Zaidi ya wanachama wa CHADEMA 5000 wajiunga na CCM Bukoba

    Endeleeni kujitekenya na kucheka mwenyewe
  16. KOMBAJR

    CHADEMA kumburuza Dk. Magufuli kortini

    Kuna haja ya kujielimisha kabla hujasema au kuandika
  17. KOMBAJR

    UKAWA waitisha kikao cha dharura

    Kitengo cha lumumba FC aka buku 7 mmebadilishiwa jina eti IT waandaa propaganda za mtandao tumeshatoka huko endeleeni kupiga upepo rangi! Nastory za kutengeneza
  18. KOMBAJR

    Serikali yawajibu UKAWA kuhusu safari za Rais

    Kama Cyo 4 trillion ametumia kiasi gani??
Back
Top Bottom