Nini kushinda Urais yeye kushinda ubunge hali ni tete!kupiga kampeni misikitini kisa alisponsor maujaji,kutoa kauli mbaya kwa mapadre airport kisa amekodi ndege kuleta wasanii kigoma siku ya ufunguzi wa kampeni yake. Na ikitokea akashindwa ubunge ndiyo itakuwa mwisho!
Asante Sana Mkuu Ocampo four kijana wa goli la mkono anajipanga kutoa draw ya kurudisha kadi usishangae kusikia siku za karibu wanachama zaidi ya 2000 wamejiunga na ccm! Hahaha
Kitengo cha lumumba FC aka buku 7 mmebadilishiwa jina eti IT waandaa propaganda za mtandao tumeshatoka huko endeleeni kupiga upepo rangi! Nastory za kutengeneza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.