Tambua waliachanishwa na kazi.. Ila walikua wanapendana.., huenda mwanamke alishindwa kuvumilia Ndio kaolewa na jamaa, Ila X hajaoa na huenda ndoto yake ni kumuoa huyo X.. Usimlaumu kwa kuumizwa na yazamani, Kwani yazamani hugeuka mapya...
Ushahidi unao? Hapo direct inajulikana anayefanya kitendo ni shabiki wa CCM, Haiingii akilini wale mnaowaita wanywa viroba leo wawatumikie... Shame on you CCM..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.