Zitto sio yatima hadi apitishe bakuli la njaa. anyway kazoea kuomba na utapeli ndio maana Dada yetu (Shida) alinyea debe ukonga miezi sita. sheria si mchezo. kumbe kuomba omba ni maumbile ya watu.
Kaishiwa bwana wako Mbowe anadaiwa. na kitendo cha kukupumulia wewe ni kuishiwa hana sifa ya uongozi.mtu ukiwa unapumuliwa mgongoni basi ukimuona Mbowe unanywea kabisa.
Zitto ndio mwenye gazeti alipe gharama. kwa hiyo yanayoandikwa ni uongo ingekuwa gazeti lenye msimamo lingesema twende mahakamani.kwanini mnaogopa Mahakama na mliyosema ni kweli.
Mwanakijiji ulisema jana nimekukimbia jibu hoja zangu. kutumia majina ya kike haikusaidii kitu.
wanafikiri watu wajinga humu.Asante sana
uwaulize na ruzuku wanakula wao.Kubenea huyo huyo alipelekwa INDIA kwa pesa za JK. wanafanya biashara bila kuwa na insurance?
wakiumwa mchango. wakifikishwa mahakamani mchango.majambazi haya achana nayo.
KJ
achana nae huyu pimbi Mwwanakijiji alisema nimemkimbia lakini leo anajibu na jina lingine la kike ili apate SYMPATHY ya wana JF? huo ni utapeliwa wa kutumia gender ya kike kupenyeza sera za NGO yao.
Kitila ni zezeta kama wewe,ndio maana anasoma masomo ya kike.sasa sijui chadema mnabiashara gani na uke uke?kweli wazima nyinyi au MBOWE kawaharibu mmekuwa si riziki na kila mtu mnamuona mwanamke anawaharibia biashara yenu. kasome ushauri wangu haya hayakusaidii kitu.
Mie siishi kwa hisia kama wewe.unakumbuka ulipiga simu BBC kwa ajili ya wanafunzi wa Ukraine uliulizwa swali gani na ukashindwa ukatoka mkuku? kama una redio na unashindwa kunijua kwa maandishi haya au una bifu na Mwanamke wa ubalozini ambaye hakukunyima visa ya UK lakini una hasira zae hiyo ni...
Sijataka kuharibu mchango wenu, nimetoa ushauri kuwa Mwanakijiji hana historia ya uamini na hana shughuli ya kueleweka ya kumuingizia kipato. nikakupa option kuwa bora apewe Kitila kwanza anajulikana na ana shughuli ya kumpatia riziki yake.
unajua unapoweka pesa benki hakuna mizengwe sasa...
Sema wewe kaka.
kuna uongo hauna kichwa kama huuu.mimi naweza kuwa binti? ni sawa na mtu kuniambia kuwa Mwafrika wa kike ni Mwanamke, kweli kuna mwanamke anaweza kukesha hapa JF toka july hadi sasa akawa na michango elfu 4? na akawa anaishi marekani kama Mwanakijiji na akawa ana ufukurukutwa wa...
hili sawa nichapinga ni kupewa michango huyu bwana Chopa MWANAKIJIJI kila tukio anasema tuchange na yeye ndiye mshikaji wa michango. alituchangisha mchango wa muuza madawa mwenzake aliyepata ajali kazini.
mara watoto yatima mara Ukraine na huko kote hakuna AUDITING? wakati jamaa hana kazi...
Kuishiwa wameishiwa Mbowe na Zitto , Mbowe kapelekwa mahakamani kwa deni huko ndio kuishiwa.
Zitto nae anakuja humu kuomba mchango kwa ajili ya gazeti lake.ndio kaishiwa.
Mwanakijiji kuja na mwafrika wa kike, senti 50, madela, ben na Koda ni kuishiwa.hana pesa wala elimu kudadadeki Marekani...
Kwanini wewe RO ulitaka akufanye nini? unamtaja kila nukta? hakutoshi Mzee mzima Mbowe? si umepewa vijisenti vya website.hutosheki na sasa unakuja na hili la Mwanahalisi ili upate chochote, yaani unaishi kwa matukio ndugu yetu? nani karudi toka London na mimi niko majuu hivi sasa. wewe ni mod...
Zitto ndio mwenye gazeti ni biashara yake na si Charity. anafanya biashara na analipwa kwa matangazo kama amekwama kibiashara aende benki kukopa sio kuja kupiga bakuli hapa.
mbona magazeti mengine yakipata mtihani wa kikazi wanalipa wenyewe.
basi na MBOWE tumchangie humu akalipe deni lake NSSF.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.