Search results

  1. J

    Watumishi watatu wa Halmashauri ya Mafia watafuna pesa za wananchi. TAKUKURU yashindwa kuwachukulia hatua

    Bwana Rajab Said...Ninavyokufaham we ni Msomi na uko makini huwez ibua tuhuma bila ya kuwa na vielelezo ni wakati wako sasa kulifikisha kwenye vyombo vya sheria kusimamia haki hii.
  2. J

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Mafia ni jipu

    Miungu watu wa Halmashauri ya Mafia mmeshikwa pabaya na mapunda.....!!
  3. J

    Zitto amefeli Leadership Qualities

    We kweli kichuguuu
  4. J

    Hii ndiyo CV ya Idd Azzan

    Elimu si kigezo cha uongozi wa kisiasa kwa mujibu wa katiba tulonayo but si vibaya kesho ukatuwekewa cv ya mhe Joseph Mbilinyi
  5. J

    Zitto Kabwe: Sijamuoa mtoto wa rais Kikwete, sipo bungeni kwa ajili ya kupigana ngumi

    Zitto kabwe ndo mwanasiasa wa kweli kupita wote chadema anapigwa vita kwasababu sio mchaga na ni muislam... thats all...!!
  6. J

    Pendekezo: Unaibu Katibu Mkuu CHADEMA apewe Ben Saanane!

    Hapo ndipo sera ya udini itakapokamilika
  7. J

    Nape: Mlipuko wa bomu la Arusha yawezekana ulipangwa na CHADEMA wenyewe

    Hivi inakuwaje picha za mwangosi ziwe halali na video ya lwakatare iwe ya kutengeneza
  8. J

    Mil. 90 Zinahitajika kuokoa Uhai wa Dr. Ulimboka

    Sichangi hata Mia mdogo wangu alipoteza maisha kwa kukosa care ya Madaktari Leo mjinga mmoja achangiwe mil 90? Mwache afe ....!!
  9. J

    JK amteua Saada Mkuya Salum kuwa mbunge

    Duh...! We mdini kum...yo
  10. J

    Mbaraka Dau mbona unaanza mapema Kuhonga wapiga Kura Mafia?

    Mbaraka Dau Hana uwezo aw kuhonga wa Mafia kaka yake kupitia MIDEF Ndo huhonga na kusingizia misaada anatoa Mbaraka Watu wamafia tuko makini sana hatuwezi ongozwa na mtu asiejielewa Kisa eti kaka yake anatoa misaada.......
  11. J

    Vijana wa Mafia watumia Facebook kufichua maovu ya Mbunge wao

    Tutajie Ahadi za Bulj ambazo hajazitimiza mkuu...?
  12. J

    Waliompora Malima Morogoro wanaswa, vitu vyapatikana.....

    Ndo kilichomuhamisha swahiba yake Dr Dau mjini na kuacha kazi zake na kwenda kupika unafiki huu
  13. J

    Mhe. Aggrey Mwanri anastahili kuwa Waziri Kamili TAMISEMI

    Unampenda tu hilo ni Gamba anaingilia mpaka kazi zisizomuhusu kwenye halmashauri juzi yeye na mwantum mahiza wameshiriki kunyang'anya watumishi na baadhi ya wananchi wa mafia na kumpa mfadhili wao Dr Dau ni kibaraka tu
  14. J

    Kafulila afichua siri za watumishi - kuna wanaolipwa 20,000,000/= kwa mwezi

    Ndio maana Mkurugenzi wa NSSF anatunyanyasa watumishi wa halmashauri ya wilaya ya mafia kumbe ana fungu kubwa kiasi atupore viwanja No more GAMBA.....!!
Back
Top Bottom