Bwana Rajab Said...Ninavyokufaham we ni Msomi na uko makini huwez ibua tuhuma bila ya kuwa na vielelezo ni wakati wako sasa kulifikisha kwenye vyombo vya sheria kusimamia haki hii.
Mbaraka Dau Hana uwezo aw kuhonga wa Mafia kaka yake kupitia MIDEF Ndo huhonga na kusingizia misaada anatoa Mbaraka Watu wamafia tuko makini sana hatuwezi ongozwa na mtu asiejielewa Kisa eti kaka yake anatoa misaada.......
Unampenda tu hilo ni Gamba anaingilia mpaka kazi zisizomuhusu kwenye halmashauri juzi yeye na mwantum mahiza wameshiriki kunyang'anya watumishi na baadhi ya wananchi wa mafia na kumpa mfadhili wao Dr Dau ni kibaraka tu
Ndio maana Mkurugenzi wa NSSF anatunyanyasa watumishi wa halmashauri ya wilaya ya mafia kumbe ana fungu kubwa kiasi atupore viwanja No more GAMBA.....!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.