Kuna kundi la vijana wa kiarabu/wahindi wanaofanya wizi huu wa kutumia magari katika barabara za upanga i.e Ali Hassan Mwinyi Road, Regency Hospital etc. Daktari wa Kigiriki na wanafunzi wake walikuja kwa ziara hapa nchini na walikuwa wamefikia...
Hana jipya huyo. Laana ya ufisadi aliofanya mauaji ya Wapemba katika utawala wake imeanza kumtafuna na ameanza kuchanganyikiwa. Tutasikia mengi zaidi kadiri atakavyozidi kuchanganyikiwa.
AKUMBUKE MALIPO NI HAPAHAPA DUNIANI.
Kwa hali ambayo nchi yetu imifikishwa na utawala huu mbovu usiojali maisha ya rai wake, ni ni vizuri mwandishi huyu shujaa asaidiwe kupata political asylum katika balozi za nje haraka iwezekanavyo. Mungu amlinde.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.