Search results

  1. Unicorn

    Mke wa Tundu Lissu apewe tuzo

    Huu ni moja wa mfano wa ile kauli ya "kwashida na Raha" sio wote wangeweza hili.
  2. Unicorn

    Kwa kitendo hiki haitoshi kuamini kwamba mpenzi wangu ananisaliti?

    Mambo ya Sex chat ndio yamekupelekea kukupa stress saizi pole sana [emoji4]
  3. Unicorn

    Hama hama ya Wapinzani na matokeo yake

    Huu ni mfano mzuri sana mambo ya kuhama hama yanatoka wapi watu wasimamie misimamo yao kama wameshindwa wastaafu tujue moja.
  4. Unicorn

    Umoja wa Mataifa Nchini watoa tahadhari kuja kwa Tundu Lissu

    Embu kaa kimya kwanza hujui lolote.
  5. Unicorn

    Hama hama ya Wapinzani na matokeo yake

    Wamepata walichokistahili ni watu ambao hawana misimamo bali ni watu wanaopenda madaraka hao watu nadhani kuna chakujifunza hapa kwa waliyowakuta.
  6. Unicorn

    Wanawake na uandishi wa meseji

    Nilijua ni mm peke yangu huwa nakerwa na huu uandishi wao kumbe tupo wengi.
  7. Unicorn

    Rapper aliyekuwa na mahusiano ya kimapenzi na Jada Pinket Smith huyu hapa

    Haya maneno nani kasema [emoji23][emoji23]
  8. Unicorn

    Rapper aliyekuwa na mahusiano ya kimapenzi na Jada Pinket Smith huyu hapa

    Muongo sana huyu jamaa [emoji23][emoji23] ndio na mm nimeuliza August ni Rapper.
  9. Unicorn

    Ushirikina kuanzia Kura za Maoni hadi Uchaguzi Mkuu

    Maisha matamu asikuambie mtu lile lilikuwa ni onyo watu wamempa [emoji4]
  10. Unicorn

    Ushirikina kuanzia Kura za Maoni hadi Uchaguzi Mkuu

    Huyu mzee kaona isiwe tabu kaacha kuchukua form.
  11. Unicorn

    Kumbe kuna watu wana PhD halafu wanalipwa laki 5?

    Kwani kusoma sana ndio kulipwa mshahara mkubwa embu tuanze kufuta hii dhana potofu kuwa lazima usome sana ndio ulipwe uajira mwingi.
  12. Unicorn

    Wadau: Kuwahi kumaliza Tendo la Ndoa na kuchelewa kipi kina madhara? Na kipi ni sahihi?

    Nzuri ni kuwahi kumaliza alafu unamuuliza mwenzako kama anataka nyongeza unampataia.
  13. Unicorn

    Ni sahihi kupanga nyumba ya elfu 70 kwa mshahara wa 450,000?

    Unapanga mbona mwingi huo acha uwoga wa maisha kuna watu watakutisha humu na watakuambia ni mdogo lakini unatosha huo.
  14. Unicorn

    Huu niliofanyiwa sio utapeli?

    Karibu mjini hivi ndio watu wanakaribishwa.
  15. Unicorn

    Hodi jamvini naomba mnipokee

    Karibu mbona picha ujaweka kwenye utambulisho wako juu hapo?
  16. Unicorn

    Natabiri kuna siku Bernard Membe atarudi CCM

    Hakuna tatizo mtoto akirudi nyumbani.
Back
Top Bottom