Wewe unategemea zitto angezikubali tuhuma hizo? Kwa hili ilikuwa ni lazima apinge. Ni kazi kwako kujua kama ni kweli au anasingiziwa. Kama mfuatiliaji wa mchezo, utajua nani mkweli. Ishu za epa na nyingine zote zilianza kama walivyoita wakati huo MAJUNGU. kama na wewe unalitumia neno hili bila...
SITAKI UNIAMINI, ila fuatilia ninachokiandia. Unganisha matukio ya jambo hili. Hii ni njia rahisi kwako maana umeonyesha njia zingine za ufuatiliaji huziwez. Kama hutaweza kwa njia basi utakuwa umejitia upofu ktk ufuatiliaji. Kwa mtu mwenye kufikiri suala hili la zitto kutumika na kisha...
Ndugu sitaki ukubaliane haraka na nilichoandika lakini nakushauri fanya utafiti. Kabla kulikuwa na mazungumzo ya kafulila na machali, akimwelezea malengo yao na zitto. Kwa kutokubaliana machali akavujisha mazungumzo hayo bila kuuma maneno. Posts nyingi zilieleza hii njama humu jf. Anyway kwa...
Ktk sakata hili huwezi kuwatoa Rais kikwete na zitto. Zitto anatumiwa na kikwete kutaka kuigawa chadema. Kama jaribio la kumpindua mbatia lingefanikiwa, zitto na genge lake wangehamia nccr na zitto kuwa mwenyekiti. Chadema na nccr vingekuwa vyama hasimu na kukiacha ccm kuendelea kutawala...
Mnauliza zitto kaingiaje ktk sakata hili? Zitto ni mchezaji aliyefungisha goli, kwa hiyo likisawazishwa ni lazima awe na furaha kuliko mfungaji. Makosa yake yamefutwa. Thanks kwa mahakama kuanza danadana.
Minda, mbatia kafanya kazi nzuri sana, si kwa chama chake bali kwa chadema. Amekwamisha mpango namba moja wa kukigawa chadema. Did you know the plans of zitto na kafulila, wakisaidiwa na ccm? Waulize maafisa usalama wa chadema walivyopata taabu kunusuru hali hiyo. Muulize Machali aliyepewa dili...
Ktk tz hii, labda tuamue vinginevyo, unapotaka kuwa mwanasiasa ni lazima utafute chama. Ukikipata chama, chama hicho kitakuwa na katiba. Katiba itaeleza jinsi uanachama wako utakavyoanza na namna uanachama wako utakavyokoma(fukuzwa). Kujiunga na chama ni kukiri kuikubali katiba ya chama. Ukienda...
Usemacho ni kweli mkuu. Japo mada ni ya zamani kidogo, lakn hadi hivi sasa mbunge huyu kama amelisusa jimbo vile. Na habari kutoka kwa watu wa karibu yake zinasema hana mpango wa kugombea tena shy. Kwa kweli kijana kapata wakat mgumu. Nakumbuka alishaingia uwanja ni wa football kambarage, watu...
Ndio jambo alilofanyiwa kafulila sio zuri kusikia masikioni. Chanzo cha jambo hilo ni mapinduz ya uenyekiti. Ingekuwa ktk level ya nchi tungeita uhaini, ipo adhabu yake ktk katiba na ni kosa kubwa dhidi ya nchi. Tukiri pia kuwa kafulila alitaka kufanya kazi ya ccm bila ya yeye kujua. Machali...
Mimi ni mwanajeshi kifani. Jeshini tuna kanuni za mapambano. Kanuni muhimu ni kuwatambua askari mamluki. Utawatambuaje? Askari mamluki huwa wanapigana kwa juhudi sana mwanzo wa vita. Lakini wanapoona mmekaribia kupata ushindi wao huanza kuzembea, kurudi nyuma, kuokoa nafsi zao na kuwashambulia...
Eti na wewe umefikiria? Utumwa mbaya. Halafu chadema hawana sare rasmi. Hizo combat unazoziona mitaani sio vazi rasmi la chama. Umewezaje kulogin? Mbona unaonyesha kama hujui lolote?
Tindo, umedokeza kidogo kuhusu zzk, usiogope kutaja jina. Unayemzungumzia ni zitto zuber kabwe. Huu ndio mlango wa kuingilia migogoro ndani ya chadema.
Mwizi kusimamia mwizi asiibe? Masele hakushinda na wala sio mbunge wa shy ni mbunge wa dar na dodoma. Hana wa kumuongoza. Anapataga taabu sana akija jimbon, anazomewa na kubezwa wazi wazi.
Chadema nacho ni chama kama vyama vingine. Kina milango ya migogoro kama ilivyo kwa vyama vingine. Tofauti ya cdm na vyama vingine, chadema haijaruhusu madirisha kuwa milango ya migogoro.
Hivi, mwenyekiti wa cuf ni nani? Ana elimu gani? Yule profesa wa mapumba asingekubali kujiaibisha kijinga namna hii. Nasikia cuf bungeni walishikiwa bunduki ili wapitishe na kushangilia wasichokiamini. Dah, baba kubwa.
Siasa hizi. Leo watu wa cuf na ccm ndio mmekuwa wa kwanza kusema chadema imewasaliti. Wakati mlipokuwa mnashangilia kupitishwa kwa sheria mbovu mlikuwa namjiita wazalendo. Twendeni tukarekebishe katiba na wala sio kuandika katba mpya. Katba mpya itaandikwa baadae. Mind you, serikali yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.