WATAALAM MSIKUBALI KUPAKWA MAFUTA KWA MGONGO WA CHUPA
Taasisi kubwa ya elimu kama Chuo kikuu inapomtunuku cheti cha PHD mtu ambaye hastahili kwasababu tu ni #Kiongozi au #mwanasiasa na anaweza kuwasaidia personally wataalam husika (waliompa cheti kwa hisani) mbeleni ni hatari sana kwa afya ya...
Ndugu wanajamvi;
Tanzania Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi October 2015 mijadala mingi ya kupendekeza na kubashiri kiongozi mkuu wa nchi (Rais) imejikita kwenye chama kimoja tu ambacho ni chama tawala CCM.
Mijadala hii inaongozwa na kuchangiwa na watu wa pande zote yaani wapinzani na watu...
Mmoja wa vijana mahiri wanaotumiwa na ccm kupata taarifa za ndani ya CHADEMA bwana Patrobas Paschal amechukua fomu ya kugombea uenyekiti wa BAVICHA taifa.
Kijana huyo ambaye kwa sasa ni mfanyakazi wa Sahara Media Group wamiliki wa Star Tv, Redio free, kiss fm na gazeti la msanii afrika...
Wakati huo hatukuona nguvu yao. Lakini kwa sasa kwa mujibu wa Mwenyekiti wetu Mh. Freeman Aikaeli Mbowe ni kwamba kwa sasa wamegundua na wanaamini CUF ni MARIJALI wasiotia shaka wamewapimaje URIJALI huo hatujui.
Tafakali picha hizi.
HONGERA WANANCHI WA MKOA WA ARUSHA NA SIMIYU KWA KUKIPOKEA VIZURI CHAMA CHA ACT - TANZANIA NA KUFANIKISHA ZOEZI LA UHAKIKI WA WANACHAMA LEO. HAKIKA USAJILI WA KUDUMU UNAKARIBIA. Aluta continua
Siku ya jana wananchi wazalendo na wapenda demokrasia katika mkoa wa Mwanza walijitokeza kwa wingi sana katika zoezi la uhakiki wa wanachama wadhamini wa Act - Tanzania uliofanyika Jijini Mwanza katika ukumbi wa Aspen hoteli.
Ni wazi kwamba chama hiki kimepokelewa vizuri sana na wananchi kwani...
Chama kipya cha siasa ACT - Tanzania jana kilifanya mkutano wake wa kwanza wa hadhara jijini Mwanza katika viwanja vya Shule ya msingi Mbugani. Mkutano huo ulitanguliwa na ufunguzi wa matawi mawili ya ACT katika kata ya Igoma na Mecco. Watu wa Mwanza wameipokea vizuri sana ACT kwani...
Mbowe anawaburuza wanachama wa chadema kwa kuwachezesha ngoma wasiyoijua. Hivi majuzi wamekamilisha oparesheni waliyoiita M4C Pamoja daima kwa kisingizio kuwa wanahamasisha watanzania kushiriki kwenye mchakato wa katiba mpya kumbe wapi kwenye jina la movement hiyo kitu kilicholengwa ni...
Ndugu zangu nimejaribu kusoma mara kadhaa tamko lililotolewa jana na Kiongozi wa UVCCM uhamasishaji na chipukizi, nililazimika kulitafuta na kulisoma baada ya kuona washabiki wengi wa Lowasa wakimshambulia Makonda eti kwanini ametoa tamko hilo la kukemea viongozi kutangaza nia kabla ya wakati...
VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WANAPOBUNI MAANA MPYA ZA MANENO KWA MASLAHI YAO BINAFSI NI UBAKAJI WA DEMOKRASIA.
Tunafahamu kuwa kazi ya kutafsiri maana na kuidhinisha tafsiri na maneni mapya ya kiswahili inafanywa na baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) lakini cha ajabu kwa sasa kuna...
MBOWE ALIPEWA UENYEKITI CHADEMA KWA MISINGI YA UKWE, SASA AMEKOSANA NA MKWE ATAMNG'OA.
Ikumbukwe kuwa Freeman Mbowe hajawahi kugombea uenyekiti CHADEMA (kugombea kwa maana ya kuwa na ushindani) mara zote amekuwa akipitishwa tu bila kupingwa. Hali hii ilisababishwa na uhusiano binafsi...
Katika wakati ambao wabunge bila kujali itikadi zao wako na hekaheka za kutaka waziri mkuu mawaziri waliosababisha madhara kwa wananchi kupitia oparesheni tokomeza wajiuzuru, Mbunge wa Iringa Mchungaji Peter Msingwa amelitaka bunge eti liwaombe radhi waliowahi kuwa mawaziri wa serikali ya...
FREEMAN MBOWE, KIONGOZI ALIYEFANIKIWA KUIFISIDI CHADEMA KWA KUWAAMINISHA WANACHADEMA KUWA MIGOGORO YOTE INAYOTOKEA CHADEMA NI MPANGO WA CCM
Mara zote Mbowe na Slaa wakiulizwa kuhusu migogoro inayoendelea Chadema wao jibu lao ni moja tu "Ni mipango ya CCM kutuvuruga Chadema ni tishio kwao"...
MBOWE ATAKA HISTORIA YAKE ITUMIKE KUHALALISHA YEYE KUBAKI MADARAKANI KWA MABAVU KWA KISINGIZIO CHA KULINDA CHAMA
Mbowe anadhani historia yake binafsi katika chadema inaweza kutumika kufunika vitendo vya ubakaji wa democrasia katika chama ikiwa ni pamoja na yeye kunyofoa kifungu cha ukomo wa...
Tawi la chadema SAUT limejipanga kutumika kama kichaka cha kuficha aibu, ufisadi na uchu wa madaraka wa Mwenyekiti wa chadema taifa Nd. Freeman Mbowe. Matumizi ya tawi hili yamekuja siku chache baada ya tamko lililotolewa na mwenyekiti wa matawi ya Chadema Mwanza Mh. Gwanchele, tamko anbalo...
Ndugu zangu
Ili tuendelee tunahitaji fikra mpya za kujenga, kama kila kijana mwenye wazo jipya atapingwa kwenye hivi vyama vyetu vya siasa hatutafika mbali.
Viongozi wa juu wa Chadema wamekuwa wakiendesha ufisadi na ubabe kwenye matumizi ya ruzuku ya chama. Kwa muda mrefu imekuwa kila...
Nilipata fursa ya kuhudhuria kongamano lililofanyika Mwanza hotel Jana. Nilishuhudia wanachama wa chadema M4C group Mwanza wakilizwa hadharani na mwanasiasa kijana Bw. Habibu mchange. Wanachama hao walilizwa na kupanikishwa na Bw. Mchange wakati wa kongamano lililokuwa likijadili mada isemayo...
Mbunge wa jimbo la Nyamagana Mwanza Ezekia Wenye amewadanganya na kuwadhihaki wananchi wa jimboni kwake kupitia mikutano yake ya hadhara aliyoifanya sehemu mbalimbali na kuwaambia wananchi hao kuwa yeye ni mbunge pekee anayetumia fedha za mfuko wa jimbo vizuri kwani matumizi ya fedha hizo...
Wananchi wa Nyamagana hawaridhishwi kabisa na utendaji wa kazi wa bwana Wenje ambaye siku chache baada ya kuchaguliwa kwake amehamishia makazi yake jijini Dar es Salaam. Mkakati wa wananyamagana ni kumuondoa Wenje mapema 2015 kwani kwani kungekuwa na uwezekano tungemtimua hata sasa. Shame on wenje/
Waziri kivuli wa sheria na katiba Mh.Tundu lisu leo saa kumi kamili jioni amezuilgwa kufanya mkutano katika chuo kikuu cha mtakatifu agustino Mwanza. Anayedaiwa kutengeneza zengwe la zuwio hilo bila sababu za msingi ni mkuu wa idara ya sheria chuoni hapa anayefahamika kwa jina la Kirangi ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.