habari ni njema mdau, kwa tarehe ulizoanisha hapo juu, mzunguko wa mkeo utakuwa kama ifuatavyo
tarehe 14-18 bleeding
tarehe19-23 safe day/siku salama hawezi kupata mimba hapa
tarehe24-26 kuna uwezekano wa kupata mimba na mara nyingi ukifanya mapenzi una uwezekano mkubwa kupata mtoto wa kike...
magu, hapo nawe unajikanganya! kama weweumeona hoja katika tahariri hiyo lazima una matatizo ya uelewa, ukiisoma kiumakini tahariri hiyo na kuichambua utagundua kwamba mwandishi ana conflict binafsi na chadema, inayohusiana na ajira! pili anafanya kazi nyuma ya mwavuli fulani nadhani wa kisiasa...
enhee tene umenigusa mkuu maana nimeona habari moja kwenye gazeti la jambo leo limenikera kweli, eti CCM YAFUNIKA DARA NZIMA hawa mi naona wamelala ilifunika wapi? mbona mkutano ulifanana na ule wa UDP wakati wakifungua kampeni za urais 2010, hakukuwa na jipya na sikuona ni kwanini chama tawala...
ndugu yangu osokoni unanipa hasira sana, kwa sababu nape haliwakilishi kanisa anaiwakilisha ccm, je unasemaje kuhusu waislamu walioko ccm nao lao ni moja na hao wakristu wakina nape? je watoke waende chama gani TZ kisicho na wakristo? wewe ni mdini ila bado una nafasi ya kujirekebisha maana nia...
hoja hapa si uislamu au ukristo, acheni uvivu wa kufikiri, kila mtu ana dini yake au aweza kuwa mpagani, hoja yetu ni kwamba ccm wametufanyia nini zaidi ya kuhubiri amani na utulivu ambao haupo? ziko wapi rasilimali zetu, ziko wapiu huduma za afya, elimu bora, maji, barabara, uchumi endelevu n.k...
miaka hamsini wameshindwa kugusa maisha ya mtanzania leo wanagusa, hiyo ni ndoto mkuu, CCM hawawezi tena na wala hawana nia ya kufanya hivyo, kama wewe una nia nzuri fanya haraka hamia CHADEMA mapema tukawakomboe watanzania, kama unaendelea na gamba lako subiria tukukomboe 2015
naungana na wapiganaji wenzangu wote kwamba CHADEMA sasa ni chama kinachokaribia kuchukua dola, ni lazima tuoneshe ukomavu wa kisiasa, busara na hekima. lah sivyo tutapoteza uaminifu kwa wananchi ambao tayari wameshajitoa kukisuport chama! tuwafunde wanasiasa wetu, tushiriki katika shughuli...
watajutia uamuzi wao mbovu wa kutukandamiza, sisiemu inataka kufanya nchi ya kwao, wanawezaje hata kuingilia uhuru wa mahakama, mana ni wao waliokataa lema asitolewe jana then wanafanya mambo yawe even more worse, unajua wanadhani yataishia arusha, wanajidanganya na yakichanganya fresh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.