Search results

  1. C

    Uchaguzi 2020 Kwanini Vyama vya Upinzani nchini Tanzania vimeanguka vibaya sana katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani

    ndiyo nilienda kupiga kura na karatasi za kura nazifahamu.....hizo sio sample zilizotumika katika mafunzo..kwanza tangu lini sample ikapigwa muhuri wa tume,sample zilizotumika kwenye mafunzo ni plain na ni white...sample haina muhuri...ni bahati mbaya tu hujui unataka kumdanganya mtu ambaye...
  2. C

    Uchaguzi 2020 Kwanini Vyama vya Upinzani nchini Tanzania vimeanguka vibaya sana katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani

    kama mlijua wananchi wamewakataa kwenye masanduku ya kura kulikua na haja gani mkaanza kutengeneza haya makura feki???
  3. C

    Uchaguzi 2020 Kwanini Vyama vya Upinzani nchini Tanzania vimeanguka vibaya sana katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani

    kama hawana sera mbovu kwanini imebidi mtumie mabeki ya kura feki ili kushinda??
  4. C

    Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

    mkuu unaumia na maswala ya simba...huumii timu lako la utopolo kukosa ubingwa mara ya tatu hii mfululizo??...na mwaka huu,tunachukua tena
  5. C

    Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

    simba imeanzishwa mwaka gani mkuu??kwanini miaka yote iyo imeshindwa kuendeshwa ki taasisi unayoisema wewe??acheni siasa kwenya maswala ya msingi....miaka yote iyo timu ilikuwa katika hali mbaya hawa vimdomovimdomo walikuwa wamejificha...katokea mtu ameanza kufanya vitu vinaonekana vimdomodomo...
  6. C

    Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

    hata akiwapa watoto zake na wake zake ivyo vyeo kama timu inapata mafanikio kuna ubaya gani???kati ya kipindi ambacho alikwepo na kipindi ambacho hakwepo ni kipindi kipi ambacho simba imepata mafanikio...???ipi ni shida kwako haswa.. mbona izo timu ambazo haziendeshwi kiundugu unaousema wewe...
  7. C

    Madaraka ya KULEVYA! Msafara wa mgombea urais magari 60

    kumbe huyu ndo anayekusanya kodi zetu??
  8. C

    Nilifukuzwa kazi nifanyeje niweze kurudi?

    naomba nielewesha hapa mkuu...vipi kwa wale walioajiriwa kiwango chao vha elimu kikiwa darasa la saba,wanatambulika vipi kwenye payroll wakati hawana iyo namba ya form four
  9. C

    Askofu Mwamakula: Tunduma hali sio shwari

    nyumbu wengine waliahidiwa milioni 50 kila kijiji😂😂😂😂😂
  10. C

    Wana Yanga Wenzangu kwa hile tusikubali kwani huenda ikawa ni hujuma kwa Wananchi.

    mkuu vipi yule mchezaji wetu wa yanga morrison tuliomtambulisha siku ya wananchi mechi ya jumapili dhidi ya tanzania prison atakwepo???
  11. C

    Uchaguzi 2020 Kwa kauli hizi za Dkt. Magufuli, Je atakuwa tayari kuachia madaraka kama atashindwa Uchaguzi?

    ndo mana mbunge anapigiwa kura yake na raisi anapigiwa kura yake...
  12. C

    Uchaguzi 2020 CHADEMA mkisema mtatoa Huduma za Afya bure, naomba mjibu hoja zifuatazo

    kweli mkuu,kuna wengine waliahidi milioni 50 kila kijiji na ahadi nyingine kemkem alafu baada ya kupata kura wamejikausha kama si wao..wamerudi tena safari hii kutulaghai na uongo mwingine..wanafkiri tumesahau
  13. C

    Uchaguzi 2020 CHADEMA mkisema mtatoa Huduma za Afya bure, naomba mjibu hoja zifuatazo

    kumbe wewe sio mtu wa kufanya analysis...unasemaje mtu muongo wakati huwezi kufanya analysis ya anachokiongea??
  14. C

    Simba itadhalilishwa hadi lini?

    kama kuna utapeli mmetapeliwa nyinyi na GSM....nyinyi mbona GSM kachukua timu,imeshakuwa mali yake na mmeshindwa kumuuliza haya maswali??
  15. C

    Uchaguzi 2020 CHADEMA mkisema mtatoa Huduma za Afya bure, naomba mjibu hoja zifuatazo

    Mkuu ebu ni jibu kwanza hili swali...trilioni 1.5 inaweza kutoa huduma za afya bure kwa watanzania wangapi?ukinijibu hili swali nitajua kama lissu ni muongo or mkweli
  16. C

    Tabiri Top 4 yako VPL

    Changamoto ya Yanga ni kimataifa kumbe... sawa mtaendelea kuchezea 4g hapa ndani na huko kimataifa mtaishia tu kuwaona kwenye tv kina Namungo ndio wanaiwakilisha nchi...
  17. C

    Usajili wa Drone ni dola 100 (Tshs 230,000) na kwa mkoa mmoja ukihama mkoa (location) unasajili upya tena

    kwa hiyo inatozwa kodi kwa sababu inaweza tumika kama silaha si ndiyo..??
  18. C

    Mnipe mishe za kuingiza kipato Morogoro

    Mic you too madam akee...yeap ni kweli nimeadimika...kuna sehemu nipo ni bush kidogo na mtandao huwa unasumbua sumbua kiaina..c unajua tena mihangaiko hii ya maisha...ngoja nakufuata pm madam or ilenamba yako tsup ipo available??
Back
Top Bottom