Watamhangaisha sana ........... mwishoni ukweli utatamalaki. Siku itafika ambapo watajutia huo ukatili wanaowafanyia wapinzani. Mandela alikaa jela miaka 27 lakini hatimaye alitoka na kuja kuwa Rais. Nchi ni yetu sote, siyo ya wanamagamba peke yao. Viva Lema. Viva Ukawa.
Hakika Naibu Mawaziri hawana kazi. Ona: Naibu Waziri hawezi kutia sahihi waraka (document) ya sera ya Wizara; Pili Naibu Waziri hawezi kukaimu Wizara kama Waziri hayupo; Tatu Naibu Waziri si mjumbe wa Baraza la Mawaziri. Majukumu yote hayo ni ya Cabinet Minister. Waziri akisafiri Rais humteua...
Tuvute subira na tuombe sana Mungu awape hekima viongozi wetu. Kuisambaratisha ccm ni dhahiri na mwaka huu haitoki. Mungu ibariki UKAWA, Mungu ibariki Tanzania
Yote yote yawe. UKAWA angalieni mnamkaribisha Lowassa kwa nafasi gani. Isije ikawa kama ya Mrema, ambaye kila anakokwenda anataka kuwa mkuu wa sehemu hiyo. Take care.
"Profesa Maji Marefu?" Bahati mbaya kwao mtabiri waliyemwamini na aliyekuwa akimlinda JK kwa majini ameshatangulia mbele ya haki. Oh! Sheikh Yahaya Hussein (RIP).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.