acha ujinga muulize daktari wako ina maana gan na mazara nn? Tatizo watu wengine mnapenda majungu badala ya kumuuliza mtaalamu unaleta majungu utazani madaktari hawaelezi haya mambo. acha majungu
Mnyika keep up! Mungu akutie nguvu. Watu dhaifu km Nape wasikukatishe tamaa ni makapi tu hao!! Keep up tuko pamoja.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Wana JF naanza kupata wasiwasi na kushindwa kuelewa juu ya swala hili.
Hivi ni kweli Mh. Lowasa ni mtoa rushwa mkubwa kiasi cha kuweza kuhonga kila mtu na kufanikiwa kiasi hiki ninachosika na kuona kikionyeshwa na wapinzani wake? Rushwa jumuia za chama(wazazi, wanawake, vijana, ujumbe NEC, nk)...
Alisema akioteshwa atagombea urais. Shame on you Membe!! Umetia aibu na hufai kuwa sehemu ya uongozi wa nchi sawa na jamaa yako JK. Go to hell both of you.
Wanaoitwa vijana ambao wako CCM ni mafisadi watoto ambao mpango wao si ukombozi wa nchi ila matumbo yao. CCM ni genge la wezi waliokomaa na wanaojifunza mbinu za kuibia nchi. Hujiulizi kwa nn kigwangala na Bashe walitaka kuuwana? wizi mtupu.
Yeye mwenyewe kabomoka ataweza kweli kuwajenga vijana?
Yeye ndiye mla RUSHWA mkubwa na yupo alipo kwa rushwa anawezaje kuwashutumu wenzake?
SHAME ON YOU JK
Prof hatimaye amefariki rasmi kisiasa kwa kauli hii ni kauli za marehemu wa siasa wana JF tumuandalia mshikaji mazishi hainuki tena. Kwishne maskin Prof Lipumba na pumba zake.
Hii ya nape nimeipenda. Maskini Nape anatia huruma........ HAJUI ALITENDALO!
Sasa wan JF mnadhani angesemaje na moto umeshawaka.
BIG UP CDM mwendo mdundo.... mpaka kieleweke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.