Mwigulu Nchemba, jaribu kutoa tathimini ya chama katika mwaka 2012 , hacha malumbano, Naona umeanza kutoa shutuma ambazo hazina msingi za kujenga chama.
kweli halishiba hamkumbuki mwenye njaa. wewe unaopata wapi ujasiri wa kusema "kwamba wengi wa Wabunge waliokuwa wanapinga posho ni wale wenye uwezo mkubwa sana kipesa kwamba hata hawahitaji hiyo posho ya sh. 70,000 kwa siku maana kwao ni peanuts na ni wachache sana, ninasema hii hoja ijadiliwe...
ANGONET( mashirika yasiyo ya kiserikali na asasi mkoaani arusha) YAZUIA MISAADA YENYE HARUFU YA USHOGA, ........kiongozi soma vyombo vya habari UNAYESMA NGO zimekaa kimnya... JF ni mtandao wa wetu wenye kufanya utafiti kabla ya kurusha kitu hewani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.