Wapo wengi walio chochea watu kuziacha hosipitali na kukimbilia kwa mganga wa kienyeji tena wkionywa kwa nguvu kubwa na viongozi wa kilokle na kiisilam. Wengine tulifikia mahali pa kuwatukana kuwa wanahofu ya kupoteza waumini na sadaka. Sasa ukweli umekuwa wazi kuwa walikuwa sahihi kabisa. Moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.