Chama chocote ni genge la watu, bahati nzuri umekili ni genge la watu hivyo tayari limekidhi sifa za kuwa chama, maana chama cha siasa ni grup la watu wenye mtazamo na madhumuni yanayofanana.
Mkuu unajua kwanini wengi waliosima King Msukuma anawazalau?
Wengi wao ni masikini hawana hela, lakini msukuma hajasoma lakini anamiliki ukwasi wa maana tena inawezekana ameajiri hao wasomi.
Pili elimu siyo more practical hebu chukulia mfano mtu ameasoma Bussness administration lakini...
Wewe kajamaa utakuwa unavuta bhangi kwani ulilazimishwa kuiunga mkono, kutokuinga kwako mkono kuna impact gani?
Na kwa taarifa yako huyo mama yenu amesema miradi itaendelea Kama ilivyo Kama una chuki kufa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.