Search results

  1. Doctor Ngariba

    Ushauri: Nataka niuze Passo ninunue pikipiki ya kuendea kwenye mihanjo

    Cheap is expensive. Pikipiki kwa mjini ni sawa na kaburi linalotembea. Nakushauri ukomae ni kipaso chako mkuu
  2. Doctor Ngariba

    Nataka kuuza nyumba, viwanja, gari na vitu vyote vya ndani nirudi bara kuanza upya kutoka Zanzibar

    Sijapenda hapo tu uliposema "wavaa vipedo" kwa kuwa unabagaza imani za watu lakini ni ukweli usio na shaka wazanzibar (wengi wao) ni wabaguzi na haubaguliwi kwa kuangaliwa dini yako tu bali unabaguliwa kutokana ubara wako.
  3. Doctor Ngariba

    Natabiri Paul Makonda atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2030

    Dah inasikitisha sana. Huko CCM kama hakuna mwenye sifa toshelevu kupewa nafasi unayompigia chapuo Makonda basi tuna tatizo kubwa sana katika taifa letu. Mungu tulinde na majaribu haya.
  4. Doctor Ngariba

    Inaonekana nchi nzima leo hakuna umeme au kuna hitilafu kwenye gridi kuu?

    Watanzania sisi ni wanyonge sana hadi tunatia huruma. Kuna sababu gani za msingi za kukosa huduma ya umeme? Hivi kwa mfano serikali ingeamua kuingia ubia na makampuni kama changamoto hii inasababishwa na ukosefu wa pesa za kuwekeza kwenye miradi ya umeme hii shida ingekuwepo? Joto tulilonalo...
  5. Doctor Ngariba

    Spika Tulia: Bunge linataka mgao wa Umeme mpaka Juni uishe

    Wanapongezana kwenye USHUBWADA,hii inadhihirisha umajinuni wa wanasiasa wetu
  6. Doctor Ngariba

    Raia muombolezaji apigwa ngumi na mlinzi wa msafara wa Lowassa

    Analinda maiti isiuliwe tena. Hovyo kabisa huyu mlinzi
  7. Doctor Ngariba

    Ifike mahali huko kusini mkuheshimu sana! Leo wametest mitambo tena

    "Kwenye hii dunia hata uko fit kiasi gani.. Usitangaze, usipige mikwara usijisifu hadharani na kujifanya Mungu anakupenda sana kuliko wengine.. Ni mbaya sana hii Kumbuka ukijua hivi wao wanajua vile ukifanya hivi wao wanafanya vile.. Hata wauaji humuomba Mungu huyohuyo unayejitapa naye! Kumbuka...
  8. Doctor Ngariba

    Ni sababu ipi muhimu sisi wazazi tunakuwa na mtoto zaidi ya mmoja?

    Hapa siyo sehemu yake rejea kwenye mada zinazohusu Mungu
  9. Doctor Ngariba

    Ni sababu ipi muhimu sisi wazazi tunakuwa na mtoto zaidi ya mmoja?

    Mpaka hapo umeshinda,kongole. Ila remind you kuna hint (Mungu) ndiyo iliyokupa Gpa ya 5 kinyume na hapo umefeli mkuu Kiranga tena yumkini ikawa ni zaidi ya kujiharishia By the way, mtoto anao wajibu wa kumtunza mzazi wake kadri ya uwezo wa mtoto husika. Inashangaza na kusikitisha sana lakini...
  10. Doctor Ngariba

    Ni sababu ipi muhimu sisi wazazi tunakuwa na mtoto zaidi ya mmoja?

    Mkuu ulihitaji definition, Sijakujibu?
  11. Doctor Ngariba

    Ni sababu ipi muhimu sisi wazazi tunakuwa na mtoto zaidi ya mmoja?

    Nimekujibu definition ya baraka na chini pale nikakwambia hii definition siyo relevant kwako kwa kuwa huamini uwepo wa Mungu. Hilo la Mungu nimelitaja kwa kuwa definition ya Baraka inalazimika kutajwa huo msamiati.
  12. Doctor Ngariba

    Ni sababu ipi muhimu sisi wazazi tunakuwa na mtoto zaidi ya mmoja?

    Mwambie jamaako aje na aeleze mantiki ya mzazi kumtegemea mtoto iwe kama kufanya biashara.
  13. Doctor Ngariba

    Ni sababu ipi muhimu sisi wazazi tunakuwa na mtoto zaidi ya mmoja?

    Baraka, Ni wema/heri/rehema/neema aipatayo mtu kutoka kwa Mungu kwa kuombewa au kutakiwa na wenye uwezo/karama/ hadhi ya kufanya hivyo. Definition hii haifai kwako kwa kuwa wewe huna imani na uwepo wa Mungu.
  14. Doctor Ngariba

    Ni sababu ipi muhimu sisi wazazi tunakuwa na mtoto zaidi ya mmoja?

    Hana uwezo huo ila sipo kwenye utulivu ningempa definition anayotaka kutoka kwangu.
  15. Doctor Ngariba

    Ni sababu ipi muhimu sisi wazazi tunakuwa na mtoto zaidi ya mmoja?

    Umetaka maana kutoka kwangu napenda kukujulisha kwamba maana ninayoifahamu haina tofauti na ya kwenye kamusi kiongozi.Ndo maana nimekwambia ukaangalie huko. Hilo la mtoto mlemavu ni exclusive case. Lakini siyo ajabu sana kwa mtu mwenye mfano wako kuzungumza hilo la mtoto kutokuwa na ulazima wa...
Back
Top Bottom