Search results

  1. H

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kiukweli hapa timu hakuna
  2. H

    Fursa zipo shida ni sisi

    Uandishi mbovu nimeshindwa kusoma
  3. H

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Yaishe wakuu Turudi kwenye lengo la uzi hii vita ya maneno haitusaidii chochote
  4. H

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Lawama kivipi sasa matokeo ya oral yametoka mimi nimekuwa wa 190 then wale wa 40 wa mwanzo wamechukuliwa sasa apo ukakasi unatoka wapi Sasa hebu imagine napoteza muda kufatilia placement ambazo mimi nimekuwa wa 190 tena hata pass mark sijafikisha then ndio naongoza kwa kupiga kelele za...
  5. H

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hili swala la matokeo ya oral ni muhimu sana hata kama sio kwa kuonesha exactly pass marks basi uwepo utaratibu wa kujua pass marks nilifikisha but ufinyu wa nafasi ndio umenifanya nikose placement. Unakuta unajipa stress kufatilia placement kumbe hata pass mark ukufikisha lakini kama ukijua...
  6. H

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ungetaja location yako na sehemu unazoweza kufika ingekuwa rahisi kidogo Na wale mliokuwa mnafanya private sector toeni connection Jua ni kali mno
  7. H

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Na siku zinavyozidi kwenda ndio hali inazidi kuwa mbaya zaidi Tujipe imani kesho yetu ni nzuri kuliko leo yetu God atajibu juhudi zetu na mateso yatabaki kwenye kumbukumbu za historia.
  8. H

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Daah yani kwa siku unajikuta umetembelea website ya utumishi mara nyingi kuliko hata IT mwenye kitengo chake Kweli kutokuwa na kazi nayo ni kazi[emoji3]
  9. H

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Basi akabadili cheti cha kuzaliwa chapu tu
  10. H

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kama kirefu cha initial A kina G moja basi akabadili taarifa za nida nazani ni 30k Ila kama initial ina G mbili basi akabadili cheti cha kuzaliwa hii kwenye 10k hivi Asiangalie gharama aangalie usahihi wa taarifa zake. Kwa haraka haraka nazani shida ipo kwenye nida maana kama alikuwa...
  11. H

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Yes ni kweli ni initial tu lakini zina kirefu chake Mfano unaitwa Masumbuko K Benjamin Iyi K inaweza kuwa Kevi au Kelvin Sasa tunakuja icho kirefu cha A uwa inatumika ya moja au g mbili
  12. H

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Izo A kwenye vyeti vyake vya shule zina "G" ngapi Kama ni G moja the same na cheti cha kuzaliwa basi akabadili taarifa za nida Hata haisumbui ni kwenda na vielelezo tu
  13. H

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Diaz goal lilikuwa halali kabisa hakuna offside pale na hata first yellow card ya jota hakumgusa kabisa alianguka mwenyewe Howard web uwa miyeyusho sana vs liverpool toka enzi za Ferguson linapokuja swala la Liverpool anakuwa mpuuzi sana
  14. H

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Daaah nilikuwa nishaandaa bango IMAGINE BEING US Anyway tuna timu nzuri sana tufocus na games zijazo Refa katuua leo
  15. H

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Mafanikio ni hatua kiongozi Umeambiwa kamaliza depo iliyopita ivyo hana muda mrefu kazini na hata ujui ana wategemezi wangapi nyuma yake ambao wote wanautazama mshahara wake. Hii ndio tabu wanayokutana nayo hata graduate kuanza kuwalinganisha na watu walioanza kutafuta maisha kwa zaidi ya...
  16. H

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wazo zuri maana unapokea 25% ya ushindi baada ya mkeka kushinda Vipi kwa upande wa pili upo tayari ku compaset izo 25% ikiwa mkeka utachanika? Hii itafanya game kuwa fair kwa pande zote[emoji41]
  17. H

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Naona Anfield mambo matamu sana kwasasa mpaka unajikuta unasahau matatizo madogo madogo ya hapa na pale[emoji847][emoji847][emoji847]
  18. H

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Nadhani ni list ya thamani zao kwasasa sio bei zilizotumika kusajiliwa Kama ni usajili ambao tayari umefanyika Kepa ni top akifatiwa na alison.
Back
Top Bottom